Picha: Kaburi la Ruge laanza kuchimbwa huko kijijini kwao Bukoba

Picha: Kaburi la Ruge laanza kuchimbwa huko kijijini kwao Bukoba

Kwani wachaga hamfi sana .kaburi wala halina uhusiano na kifo cha mtu .uhayani kuna watu wengi Tu wanafikia miaka 110 na mabibi kizee.kufa hakuna uhusiano na kabila la mtu wala nini.

Kama wahaya wanakufa Sana mbona wahaya sasa wanakaribia milion nane na ni moja ya makabila makubwa nchini Kwa idadi ya watu.

Je kuna uthibitisho wowote kuwa wahaya wanatoweka Duniani?eti kwa sababu ya kuchimba makaburi mapema



Sent using Jamii Forums mobile app
Iwe buju kaisiki nikonakwenda akanana kange nikushabaigonzi.
 
Miamba na mawe ndiyo sababu ya kuchimba kaburi mara tu mtu anapofariki na kusubiri siku husika ya mazishi

Zamani ulikuwepo utaratibu wa kuchimba siku ya mazishi sasa kuna mahali walichimba zaidi ya mara 6 wanakutana na mwamba mpaka wakaahirisha kuzika

Ndipo wakabadili taratibu

Halafu punguza nyodo yaweza kuwa we ni kilaza kuliko wao

Sent using Jamii Forums mobile app

Sawa
 
Acha ushamba wa Mila na tamaduni wew.mila zinatofautiana kulingana na kabila.uhayani kaburi unaweza hata jichimbia hata kabla hujafa.kuna koo nyingine zina makaburi Yao tayari sio chida

Pia utaratibu huu sio Kwa wahaya Tu Bali hata wayahudi( waisraeli) kumbuka Yesu alizikwa kwenye kaburi lililokuwepo tayari hivyo sio kitu cha ajabu

Sent using Jamii Forums mobile app
La Yesu halikuwa kaburi la kuchimbwa bali lilikuwa Pango!! Mapango yapo tu wazi ila baada ya kuzikwa walisukumia jiwe zito mlangoni ili asiibwe!!
 
Hivi ndege toka south africa ingepeleka mwili wa marehemu bukoba moja kwa moja au mwanza airport kuna tatizo gani?kisha kuagwa na kuzikwa.
Kwa nini uletwe dar kisha tena safari ianze kwenda bukoba?
Wapo ambao watataka kumuaga lkn hawatakuwa na nafasi au wasaa kwenda kumzika Bukoba. No kwa nia njema!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio kiburi cha mwanadamu kinapoishia hata uwe kama tofali au Jiwe shimo linatuusu. Hapo uwa na furahi wanaoshangilia wenzao kuonewa wakijua watabaki Duniani milele RIP kaka Ruge umetutangulia tu
Acha mikwara bana....usitutishe...hata kama tutakufa sio vema kuwa wanyonge....umundu gwamundu....
 
Tatzo hakuna bt Ni suala la kutoa fursa ya kuaga mwili wake. Kwa majirani zake ,wafanya kazi wenzake pamoja wadau wengine maana jamaa ameishi Dar muda mrefu na itakuwa syo poa kuupelekeka mwili direct BK huku ukiacha kundi kubwa la watu Dar,Alafu si unajua BUKOBA syo Kama Moro au Tanga Ni zaidi ya KM 1000 unachezea lami hvyo itakuwa ngumu Kwa wadau kwenda huko.

Sent using Jamii Forums mobile app
TUBADILIKE MAJUZI FAMILIA ILIKUA INAOMBA PESA ZA MATIBABU LEO HII MICHANGO LUKUKI YA MAZISHI INASAIDIA NINI?WATU WAPO PALE TANGU SIKU YA MSIBA WANAKULA TUU BORA RAMBI RAMBI ZISAIDIE KULIPA MADENI YA UGONJWA NA MAZISHI YASITAFUNE TENA PESA.TUKUMBUKE YA KANUMBA JINSI PESA ILIVYOTAFUNWA MAMA WA MAREHEMU AKABAKI MTUPU
 
Una umri gani?.mbona unauliza vitu vya wazi?

Msiba saivi upo Dar au Bk?
Nyumba ya Ruge aliokua anaishi iko Dar au Bk?
Company yake na wanafamilia wako Dar au Bk?
Kwa hadhi ya Ruge kijamii nahisi ataagwa Leaders pale
Kwa hiyo watu wa kijijini ulipozaliwa au wazazi wako ni wakupelekewa misiba tuu kuzika?
 
Back
Top Bottom