warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
- Thread starter
- #21
Teh teh teh nyumba iko Sinza Mugabe na hajapanga ghorofa nzima ye kapanga juu na chini anakaa mtu mwingine anaitwa Tamimu. Nyuma ya hiyo ghorofa kuna nyumba nyingine ndogo imepangishwa kifupi ni Apartments
Sent from my iPad Air using JamiiForums
Nimekupenda buree binamu, yani hawa gpl ni waongo jaman na wanapenda ku exaggerate mambo mbwa hawa, mfyuu eti ghorofa