warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
- Thread starter
- #41
Usiombe uwe na pesa halaf ufulieeee na badoo, ,,hivi binamu bado pale kwake watu wamejaa kama zamanii
Zaman alikuwa na kampuni ambayo aliajiri vijana wengi sana, so nyumba yake ilikuwa haikauki watu yani full bata, kila sehemu mama ubaya yupo na wapambe wake, sasa ivi ukienda pale kwake unakuta kimya kma hayupo na cheus dawa bas yupo pek yake, chezeya pesa weye