Teh teh teh nyumba iko Sinza Mugabe na hajapanga ghorofa nzima ye kapanga juu na chini anakaa mtu mwingine anaitwa Tamimu. Nyuma ya hiyo ghorofa kuna nyumba nyingine ndogo imepangishwa kifupi ni Apartments
Sent from my iPad Air using JamiiForums
Maamuzi yake kujielezea kwetu juu ya namna kapata hela alizonazo. .maisha yake..anaamua aseme au.asiseme nini?
Kapanga gorofa ya juu chini kuna mtu mwingine na hiyo kodi ni ya jengo zima hivyo wanaigawana nusu kwa nusu na yule mpangaji wa chini.
Huyo mbona taarifa zake zinafahamika kuwa siku za hv karibuni amekua akipeleka sembe ughaibuni?
Wala sio maamuzi yake, yeye ni star tena kioo cha jamii, inabid jamii iige kutoka kwake, kuna watu wanataka kuwa kama kajala, so its better akafunguka kuhusu scandal mbali mbali anazoshutumiwa, maana yeye ni kioo cha jamii, hayo mambo ya kuwa tajiri wala asijisumbue kuelezea maana hadi akina babu zangu kule kimbiji wanajua pesa kazitoa wapi, nazungumzia scandal nyingine
Binamu bwana sasa hapa mimi na wewe nani mbea,ila wanasema mjini mipango hatuwezi jua vyanzo vyake vya mapatoBinamu wivu huo, mwenzio kashasema ana miradi na biashara zake, uku pia filamu zinamlipa
Yereuwiiii, Dinazarde embu njoo uku upate supu ya ulimi na chapat mbili, kimbia fastaa
Wee? Halafu nahis k nae atakuwa punda, we bwana gan huyo akuhonge pesa zote hizo jaman? Mmh
Yereuwiiii, Dinazarde embu njoo uku upate supu ya ulimi na chapat mbili, kimbia fastaa
Wee? Halafu nahis k nae atakuwa punda, we bwana gan huyo akuhonge pesa zote hizo jaman? Mmh
Hizo ofisi zao zinatoa filamu zipiii hhhhhaaaaaaa mi ningekua Kajala ningemrudishia Wema zile milion 13 ili amani iwepoo kabisaaa maana Wema kafuliaajeeeeee
Hii nyumba kama ya Masanja wa Ze Comedy
MAmA ubaya sasa ivi yupo busy et anampikia ndomo, kwel kafulia had anajitangaza anavyopika wakat zaman full kula bata hotelin