Ferruccio Lamborghini
JF-Expert Member
- Apr 15, 2020
- 1,667
- 2,595
Mashabiki wa Simba na Mwantesa UnitedMbona wote wamevaa red!
Kwamba wamempenda?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mashabiki wa Simba na Mwantesa UnitedMbona wote wamevaa red!
Kwamba wamempenda?
Yaani Kumbe hawa Makomando ni vijana wadogo hivyo na hata miili yao... Mbowe na uzee anaelekea nyuko fit.
Wamepitia mengi sana hawa Watanzania wetu....hizi dhambi za kusingizia wengine uongo mbaya ni za kuepuka maana tunajichumia mikosi tu.
Asante kwa utabiriMbowe is a smart guy, usiwe na haraka! Kuna kasafari kwanza ka Ikulu hizi siku chache zijazo
Umekosea na humjui aiseeHuyo mwamba Black kulia,sura yake inasema mengi mno ya moyoni.
Moja wapo nadhani hata endelea tena na hrkt zozote za kisiasa .
Kama ambavyo mamako alivyokuwa changudoa angeacha kukuzaa aendelee na uchanguAkawe DJ tu siasa kwake zimefikia kikomo
Hili jibu gumu, sema nini wanakera sana dawa moto ni moto bladifakeniKama ambavyo mamako alivyokuwa changudoa angeacha kukuzaa aendelee na uchangu
Ni muda kitambo, hata sikumbuki kama ni wewe yule yule au mwingine.Mwamba aje mtaani sasa tuchape kazi, na uzuri yule muhuni mkuu hayupo kwa sasa mambo yatasonga, muhimu tujue hili taifa ni letu sote, chochote tufanyacho kiwe kwenye nia njema ya kujenga nchi yetu, hakuna aliyekamilika
Sasa mje tena kuanza kudai katiba eenh! Muone kilichomtoa nyoka pangoniPicha ni Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu baada ya kufutiwa mashtaka ya ugaidi na Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Tanzania (DPP) leo Ijumaa Machi 4, 2022.
View attachment 2138799
Hawa miamba wameteseka sana. Wameishi zaidi ya miezi mitano hawali chakula cha mchana wala usikuPicha ni Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu baada ya kufutiwa mashtaka ya ugaidi na Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Tanzania (DPP) leo Ijumaa Machi 4, 2022.
View attachment 2138799
Hujakosea aisee mi sipo sana kwny siasa ila kesi hii ilinivuta kufuatilia,hewalaa tuachie muda ni msema kweli wa hakika.Umekosea na humjui aisee
Kafungwe wewe uone
Kudai katiba si kosa Chief, ila kwa sasa natamani Mbowe aongoze movement ya tofauti kidogo, si ile ya kuipiga mikwara serikaliSasa mje tena kuanza kudai katiba eenh! Muone kilichomtoa nyoka pangoni