Ng'wale
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 4,690
- 3,399
Kumbe issue haikua "UGAIDI"? Na kwamba KATIBA mpya na TUME HURU ya uchaguzi, havitakiwi?Sasa mje tena kuanza kudai katiba eenh! Muone kilichomtoa nyoka pangoni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe issue haikua "UGAIDI"? Na kwamba KATIBA mpya na TUME HURU ya uchaguzi, havitakiwi?Sasa mje tena kuanza kudai katiba eenh! Muone kilichomtoa nyoka pangoni
Hongera mkuu na hongera kwa serikali ya CCM kwa huo ushindi.Siasa ni SAYANSI!Katika sakata hili la Mbowe,mshindi ni serikali kwa sababu malengo ya kumzuia Mbowe kuichanganya serikali mpya ya Samia mara tu baada ya kuipokea kutoka kwa marehemu Magu,yalifanikiwa.Miezi takribani 9 aliyokaa Mbowe mahabusu ilitosha kabisa kwa serikalini mpya kujiweka sawa katika majukumu yake bila ya presha ya upinzani. Hakika CCM wanajua namna sahihi ya kudili na presha za upinzani kiintelijensia zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole mkuu, taratibu utaizoea hii hali ambayo hukuitarajia na utarudi kwenye hali yako.Kuna watu wamefanya kazi njema iliyotukuka, Mbowe ametoka. Maadili hayaruhusu to go into details. Huko mbeleni wakati muafaka, historia itawekwa bayana namna mambo yalivyokwenda. Ili watu wajifunze.
Chawa!!Sasa mje tena kuanza kudai katiba eenh! Muone kilichomtoa nyoka pangoni
Waaapiii. Aibu na maumivuKuna watu wamefanya kazi njema iliyotukuka, Mbowe ametoka. Maadili hayaruhusu to go into details. Huko mbeleni wakati muafaka, historia itawekwa bayana namna mambo yalivyokwenda. Ili watu wajifunze.
Jiongezeni!
MjitafakariKumbe issue haikua "UGAIDI"? Na kwamba KATIBA mpya na TUME HURU ya uchaguzi, havitakiwi?
[emoji12] tuko sawa! Aachane na ukorofi tujenge nchi! Maagizo kayapata lakiniKudai katiba si kosa Chief, ila kwa sasa natamani Mbowe aongoze movement ya tofauti kidogo, si ile ya kuipiga mikwara serikali