Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Mtasababisha Mwigulu Nchemba apande juu ya nguzo ya umeme kabisa kuwafungia wanakijiji umeme
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ni profesa anajipendekeza hivyo, je wasio na elimu inakuwaje? Mimi nashindwa kujua huu ujinga watanzania tulikuwa nao, ila akakosekana kiongozi wa kuufanya uonekane, au ni ujinga wa fashion?
Akili za chadema walishajiset kwamba mtu akiwa anatekeleza wajibu wake kwa nafasi yake kama hivyo ni anajipendekeza.
Hizi akili haziwezi kuwasaidia ndugu zangu
mkuu uko nyuma sana ! kuna yesu mpya ccmUsitaje jina la Yesu hovyo hovyo kuwa na heshima
"yesu wa Lugola" ? Hii nchi tuna mambo ya aibu sana.Aiseeee !!! " Yesu " oyeeee !!
Angefanya Mbowe mngesema kamanda anashirikiana na wananchi ila kwa kuwa ni upande mwingine, mnatoa dharau za kishirikina na roho mbaya,
Safari hii hamtaachwa salama.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtasababisha Mwigulu Nchemba apande juu ya nguzo ya umeme kabisa kuwafungia wanakijiji umeme
Ina maana hawajui kuwa Kuna Yesu mpya??? Au hawamtambuimkuu uko nyuma sana ! kuna yesu mpya ccm
Kwamba alipigwa na vijana wa yesu mpya auRipoti ya uchunguzi imetoka jana kuhusu kushambuliwa kwa Mbowe!
Usiingie katika huo mtego wa wanasiasa wasiojielewa kama Kangi....mkuu uko nyuma sana ! kuna yesu mpya ccm
Ripoti ya uchunguzi imetoka jana kuhusu kushambuliwa kwa Mbowe!
Wale anaoshea nao!Kwamba alipigwa na vijana wa yesu mpya au
Hata wangekuja scotland yard bado wangetoa ripoti yenye kufanana na hiyo tukubali ukweli!Ile sio ripoti, bali ni uchafu kama uchafu mwingine.
Mimi niliweka mabano makusudiUsiingie katika huo mtego wa wanasiasa wasiojielewa kama Kangi....
huwezi mfananisha Yesu na binadamu that is abomination....
Tuna muongelea yesu mwana wa Chatto mkuu....sio yesu kristu mwana wa munguUsiingie katika huo mtego wa wanasiasa wasiojielewa kama Kangi....
huwezi mfananisha Yesu na binadamu that is abomination....
Water ministry permanent secretary Prof Kitila Mkumbo takes part in the digging of a tunnel in which to lay a pipe to supply water to Chato airport in Geita Region, as captured yesterday. Photo: Correspondent Mohamed Saif
View attachment 1477524
Hata wangekuja scotland yard bado wangetoa ripoti yenye kufanana na hiyo tukubali ukweli!
Tundu Lissu kagoma mwenyewe!Hiyo sio ripoti ya polisi bali na Majungu ya siasa chafu. Scotland yard hawana muda wa kutumikia siasa chafu. Na kwa taarifa yako wangekuja, wangetoa mpaka majibu ya Tundu Lissu. Yaani wangetoa two in one, tena kwa usahihi.