kantasundwa
JF-Expert Member
- May 25, 2020
- 1,548
- 2,384
Kuhusu nnTundu lissu kagoma mwenyewe!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuhusu nnTundu lissu kagoma mwenyewe!
Hataki uchunguzi alijua ataumbuka!Kuhusu nn
Hehe...he..he..heeeeeee..he.he.heeeehhhhhee!!!!!Mtasababisha Mwigulu Nchemba apande juu ya nguzo ya umeme kabisa kuwafungia wanakijiji umeme
Umeiweka kinafiki, inakuuma kuona baadhi ya VIJIJI vya tz vinapata maji...Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Kitila Mkumbo anaonekana akichimba mtaro wa kulaza bomba katika mradi unaogharimu zaidi ya TShs bilioni 8 kupeleka maji kwenye vijiji vitatu.
View attachment 1475447
[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]Unalipwa buku saba na CCM tena kwa kodi ya wanyonge kuja kuandika hoja dhaifu kama hizi kwenye mitandao?
Wanashindana na Mwigulu Nchemba.Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Kitila Mkumbo anaonekana akichimba mtaro wa kulaza bomba katika mradi unaogharimu zaidi ya TShs bilioni 8 kupeleka maji kwenye vijiji vitatu.
View attachment 1475447
mkajifunze sarufi ya kiingerezaWater ministry permanent secretary Prof Kitila Mkumbo takes part in the digging of a tunnel in which to lay a pipe to supply water to Chato airport in Geita Region, as captured yesterday. Photo: Correspondent Mohamed Saif
View attachment 1477524
Umeambiwa hairuhusiwi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kweli wajibu wa katibu mkuu ni kuchimba mitaro?Akili za chadema walishajiset kwamba mtu akiwa anatekeleza wajibu wake kwa nafasi yake kama hivyo ni anajipendekeza.
Hizi akili haziwezi kuwasaidia ndugu zangu
Kwa akili yako unahisi hapo kashinda kutwa nzima anachimba mtaro?Kweli wajibu wa katibu mkuu ni kuchimba mitaro?
Huu ndio miongoni mwa yale mauijinga yaliyozungumzwa kwenye mojawapo ya nyuziKatibu Mkuu Wizara ya Maji, Kitila Mkumbo anaonekana akichimba mtaro wa kulaza bomba katika mradi unaogharimu zaidi ya TShs bilioni 8 kupeleka maji kwenye vijiji vitatu.
View attachment 1475447
Praise team usingetokea ningeshangaaKwa akili yako unahisi hapo kashinda kutwa nzima anachimba mtaro?
Vipi kama Lema angeonekana kapiga picha anafanya kitu fulani katika jamii nayo ingekuwa kujipendekeza?Mbona akiwa ofisini hapigi picha, au akiwa ofisini sio wajibu wake? Kweli mwanaume mzima unaweza kujipendekeza hivyo bila aibu. Inasikitisha lakini ndio hivyo.
Vipi kama Lema angeonekana kapiga picha anafanya kitu flani katika jamii nayo ingekuwa kujipendekeza?
Aiseeee !!! " Yesu " oyeeee !!