Picha: Kijana wa Arusha aolewa na mzungu UK

Aisee huyo kijana amewadhalilisha mabillionaire wa Arusha na Moshi....
 
Hapana, ilipaswa iwe hivi:

Kijana wa Arachuga Aukwaa Ubilionea Baada ya Kuvishwa Pete Na Muzungu!
Teh Teh...daa kwakweli sasa Arusha panatakiwa kuitwa mji wa mabilionea daaa..
 
Kuna uhakika gani kuwa ni mtanzania? Isije ikawa tunajidharirisha kwa kudhani kila mweusi ni mtanzania!!!!

humu ametajwa mpaji lake, sasa sijui unabisha nini !? .............watu wa Arusha wamepata Shemegi !😛oa askarikambi
 
Last edited by a moderator:
Hapa ndio bado papa hajasaini ile sheria ya kuruhusu mapenzi ya jinsia moja.vijana wetu wamekwisha aisee.
 
Mkuu unasema jina hutaji nduguze wasijepagawa ilhal umeweka picture!!?bora ungeficha picha(japo haisaidii maana kijana kishaamua kuwa ch*k0) ukataja jina maana majina yanaweza kufanana but pic inaongea zaid..laana gani hii kijana anaenda kum-bong'olea huyo nguruwe mwekundu...
 
Hivi umejuaje kama mwafrika ndio kaolewa na sio aliyeoa?

To me mweusi ameolewa. Sababu: 1. Picha ambayo wanakiss white seem to be dominant. 2. Picha nyingine black ameshika ua ishara ya kumkubali mume and she looks uncomfortable yaani no pozi kabisa kimsingi anjistukia kuwa kaharibu mazee
 
Kudadeki hapa ndo bado papa hajasaini sheria kuruhusu.tumekwisha yarabi tunusuru..
 

Waongo nyie. Huyu jamaa ni mganda ameolewa na mzungu raia wa Sweden huko Stockholm Sweden baada ya kuachana na mumewe mganda mwenzake waliodumu naye kwenye ndoa kwa miaka miwili.

Huyu mtu siyo mtanzania acheni kupotosha
 
To me mweusi ameolewa. Sababu: 1. Picha ambayo wanakiss white seem to be dominant. 2. Picha nyingine black ameshika ua ishara ya kumkubali mume and she looks uncomfortable yaani no pozi kabisa kimsingi anjistukia kuwa kaharibu mazee

Umesahau jambo moja ndiye anaevishwa pete yani yule ni ------ ameolewa. POLE KWA WAAFRIKA WENZANGU TUMEDHALILISHWA
 

Hakukuwa na lingine la kufanya? Am just thinking aloud!
 

Dhambi unaijustfy kwa dhambi au?????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…