Hapa mi nacheza na 'electronics' hata awe profesa au docta wa kienyeji, hawezi kukatiza akanipata katika hizi 'electrons' hawaniwezi hawa! kwanza namwamini Mungu ambaye 'rafiki' yao Yahya anasema aalimzidi nguvu yule nanihii, pale nanihii alipokuwa akihutubia halafu akaanguka!!!:smile-big:Mie naogopa kuchangia mawazo jamaa anaweza kukuadhibu huko huko ilipo
hahahahahahaha mwanakijiji naweza kukuelewa mara nyingine huwa unanifurahisha sana.Kama wachungaji, mashehe, na mapadre wameweza kuchaguliwa kuwa wabunge sioni tatizo kama waganga wa kienyeji wakichaguliwa vile vile.
Nimeota kuwa atapewa na uwaziri wa usalama wa viongozi TanzaniaMaji Marefu for uwaziri! This guy is setting a precedent. Si ajabu 2015 walozi wenzake km akina Sheik Yahya Hussein; wale wa kule Ghamboshi, n.k. wakaunga bodi kutafuta ubunge kupitia CCM. Maana ilianza wimbi la wafanyabiashara mafisadi, sasa wachawi.
Mtalia sana...
anayejua jamani prof.maji marefu and dr .kikwete where did they graduate on their phds?
Ok. Ni vizuri Wabunge wetu wakawa na akina Prof Majimarefu ndani ya mjengo kuliko kufunga safari kwenda kuwatafuta Korogwe, Bagamoyo, Kigoma, Shinyanga,....., na angalau wakionekana karibu na milango ya Ikulu yetu tunajua wako pale kwakuwa ni wawakilishi wa wananchi wetu!kuzimu
Ok. Ni vizuri Wabunge wetu wakawa na akina Prof Majimarefu ndani ya mjengo kuliko kufunga safari kwenda kuwatafuta Korogwe, Bagamoyo, Kigoma, Shinyanga,....., na angalau wakionekana karibu na milango ya Ikulu yetu tunajua wako pale kwakuwa ni wawakilishi wa wananchi wetu!
Hapana mkuu, hao uliowataja shughuli zao zinafanyika kwa uwaziKama wachungaji, mashehe, na mapadre wameweza kuchaguliwa kuwa wabunge sioni tatizo kama waganga wa kienyeji wakichaguliwa vile vile.
Kama unamuamini mungu wewe changia tu. Shibuda huyo anadunda mbona na alijitokeza kugombea urais ijapokuwa bwana sheikh yahaya alisema atakufa!!!
kama kuna tatizo basi ni kwa wananchi waliompitisha kwenye kura za maoni.
Mie naogopa kuchangia mawazo jamaa anaweza kukuadhibu huko huko ilipo
kama kuna tatizo basi ni kwa wananchi waliompitisha kwenye kura za maoni.
ccm ni chama cha wachawi na watu wenye mawazo dhalili na wahujumu wa uchumi na raslimali za taifa.
Yuko yule wa Urambo aligombea jina lake limenitoka ni mganga, manyaunyau ni mwanaccm pia, shehe Yahya hussein na Maji marefu.