Picha: Kila la heri Simba SC na Yanga FC wawakilishi wetu wakimataifa

Picha: Kila la heri Simba SC na Yanga FC wawakilishi wetu wakimataifa

Ghazwat

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2015
Posts
23,718
Reaction score
66,267
bb1c690620c05dcb1ccd846227a2d07f.jpg
98dff187a7f50d2173f219214163d8d8.jpg
c8d5d4f1a60769eeb2117087ca6443d7.jpg
a21bc05ab7510fd777d3eb71da1368a7.jpg
7479a71525d2b8873fb999d1d136afe1.jpg


Kila la heri Klabu zetu Tanzania Simba SC na Yanga FC kutuwakilisha kimataifa. Kikosi cha Yanga kilikuwa kikitua mchana wa leo katika uwanja wa Jomo Kenyatta nchini Kenya tayari kwa safari kuelekea Shelisheli kwa ajili ya mchezo wa Klabu Bingwa Afrika dhidi ya St Louis FC.

Kikosi cha Simba SC kikiwa kimefika salama jioni ya leo nchini Kenya kikisubiri kuelekea nchini Djibouti tayari kuwavaa Gendamarie Internationale FC katika michuano ya Kombe la Shirikisho.

Kila la heri wawakilishi wetu wa kimataifa.

=====
UPDATES;

Simba na Yanga katika viwanja tofauti vya Djibouti ns Shelisheli wakifanya mazoezi tayari kuwavaa Gendamarie Internationale FC na St Louis FC
26c7092047e540e07ed2e1dedd634953.jpg
0953700794205273230308917a7b7526.jpg


Wakati Simba SC ikijiandaa kuwakabili Gendamarie, golikipa Aishi Manula amumia mkono kwenye mazoezini.. pole sana upone haraka
8da3db0a557eb48f4c7393acd51e2d46.jpg
 
Nasema hivii, una lako jambo. Ngoja waje wenye chama lao hapo.
Kuwatakia heri wana Ndinga ni jambo langu au ni jambo la kila mdau mpenda soka? Au kuna tofauti gani hapo kwenye picha?
 
[emoji23][emoji23][emoji23] naona Mikia imepanda Daladala.
Ni Kweli lakini hapo hawa njano wanakwenda kucheza na Ihefu FC na wale nyekundu wanakwenda kucheza na KRC GENK.
 
tofauti ya waliozoea kupanda ndege na waliokamia inaonekana wazi kabisa.
 
wanaharibu helq tu awo simbq na Yqnga....maana hakuna atakayezid lound ya pili hapo.
 
wanaharibu helq tu awo simbq na Yqnga....maana hakuna atakayezid lound ya pili hapo.
Hapo ni mmoja tu ambaye hana lolote kimataifa, akienda anarukaruka tu kama Chura FC.

Afadhali huyo mwingine amefika hata kucheza nusu fainali Klabu Bingwa na akafika fainali michuano ya CAF ambayo kwa sasa ni kombe la Shirikisho.
 
Yanga hana ushamba na ndege mikia hawaamini kama watagonga visa maana hawajawai kupitia migration


Simba hapo kuna wachezaji wamecheza ulaya: Okwi, Mwinyi, Afrika kaskazini: Okwi, wamefanya majaribio ulaya: Ndemla, Kapombe wamecheza kimataifa: Manula, Nyoni, Kapombe, Gyan, Kwasi, Kotei n.k semeni mengine.
 
Back
Top Bottom