Minja Ngalason
JF-Expert Member
- Jan 8, 2017
- 1,284
- 1,839
Huu Ugonjwa unaitwa Pumbu Ression nimeupa jina kuanzia Leo😝😝😝
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu Jmaa nahisi Niliwahi Kutoa neno kwake Tangu mwezi wa Sita mwaka huu
Mkuu tumia getrizone cream. Unapaka ahsubuhi na jioni. Siku tatu ujaanza kuona matokeo.Wakuu kama ni usafi huwa najisugua hadi damu, hadi majeraha, kama ni boxa ninazo zaidi ya 10, usafi nazinagtia.
Naombeni msaada kama una dawa au unafahamu dawa,
Hapa chini nimeambatanisha dawa zote nilizopewa nazotumia kutoka kwa madaktari lakini hakuna ahueni
Post in thread 'Fangasi za pumbu zimeanza kubandua ngozi na kutengeneza vijipele, msaada!' Fangasi za pumbu zimeanza kubandua ngozi na kutengeneza vijipele, msaada!
View attachment 3006692
View attachment 3006691
View attachment 3006693
Hapo nahisi kuna tatizo tofauti na wengi tunavyodhani, ndugu yangu nikushauri kawaone madaktari Special kwa kesi kama hizo maana hata hiyo kubadili dawa mara kwa mara sidhani kama itakusaidia.Ndio lakini sikupata matokeo chanya
Kitu ya tandale hiyoMkuu Firigisi za Pale Mbagala Zakheem au Tandale?
Ile ya kijani sio😂😂unapaka uku unaruka ruka kama chiziPumbu Erosion hiyo mzee , apake ile dawa ya chupa ila inawasha kama umepaka sulphuric Acid😅
Siku ukipata vipele tuma picha tu tukushauriMmh hapana
Usivae qupi iloloa na na vaa mara moja tuu usirudie na hakikisha joto kwako lisiwe kubwa na kila ukimaliza kuoga pangusa kwa taulo paka mafuta ya nazi ni mazuri kuliko hiyo crem unazopakaWakuu kama ni usafi huwa najisugua hadi damu, hadi majeraha, kama ni boxa ninazo zaidi ya 10, usafi nazinagtia.
Naombeni msaada kama una dawa au unafahamu dawa,
Hapa chini nimeambatanisha dawa zote nilizopewa nazotumia kutoka kwa madaktari lakini hakuna ahueni
Post in thread 'Fangasi za pumbu zimeanza kubandua ngozi na kutengeneza vijipele, msaada!' Fangasi za pumbu zimeanza kubandua ngozi na kutengeneza vijipele, msaada!
View attachment 3006692
View attachment 3006691
View attachment 3006693
Tafuta hydrogen peroxide upake hapo ndani ya saa moja kwisha kazi. Inapatikana maabara za shule za advance.Wakuu kama ni usafi huwa najisugua hadi damu, hadi majeraha, kama ni boxa ninazo zaidi ya 10, usafi nazinagtia.
Naombeni msaada kama una dawa au unafahamu dawa,
Hapa chini nimeambatanisha dawa zote nilizopewa nazotumia kutoka kwa madaktari lakini hakuna ahueni
Post in thread 'Fangasi za pumbu zimeanza kubandua ngozi na kutengeneza vijipele, msaada!' Fangasi za pumbu zimeanza kubandua ngozi na kutengeneza vijipele, msaada!
View attachment 3006692
View attachment 3006691
View attachment 3006693
Jipake majimaji ya limau au ndimu kisha acha pumbu wazi zipate upepo bila kujifunika chochote. Fanya hivyo asubuhi na jioni kwa siku 2Wakuu kama ni usafi huwa najisugua hadi damu, hadi majeraha, kama ni boxa ninazo zaidi ya 10, usafi nazinagtia.
Naombeni msaada kama una dawa au unafahamu dawa,
Hapa chini nimeambatanisha dawa zote nilizopewa nazotumia kutoka kwa madaktari lakini hakuna ahueni
Post in thread 'Fangasi za pumbu zimeanza kubandua ngozi na kutengeneza vijipele, msaada!' Fangasi za pumbu zimeanza kubandua ngozi na kutengeneza vijipele, msaada!
View attachment 3006692
View attachment 3006691
View attachment 3006693
Bora hiyo kuna ile ya chokaa nyeupe hivi ukiipak unahisi unachomwa na Moto wa jehanumIle ya kijani sio😂😂unapaka uku unaruka ruka kama chizi