shadrackAmri
JF-Expert Member
- Oct 27, 2023
- 275
- 4,064
tulia wewe kiazi najua kilakituacha kumtisha mwana sio lazima ujikute dr
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tulia wewe kiazi najua kilakituacha kumtisha mwana sio lazima ujikute dr
Nilishapata tatizo karibu Kama hili nikiwa A level Mbagala!acha kumtisha mwana sio lazima ujikute dr
Unajuaje kila kitu?tulia wewe kiazi najua kilakitu
Hata leo nimetoka hospitali lakini , nimeenda kwa madaktari zaidi ya 6 hadi sasa , wawili wa ngozi. Lakini wananipa dawa ileile mbali na kuwaelezea kuwa haina matokeo chanya kwangu , madaktari bana😭Dawa ulizoelekezwa ulizitumia kwa uaminifu?! Huko hospital uliwahi kwenda?!
BBE umetumia?Hata leo nimetoka hospitali lakini , nimeenda kwa madaktari zaidi ya 6 hadi sasa , wawili wa ngozi. Lakini wananipa dawa ileile mbali na kuwaelezea kuwa haina matokeo chanya kwangu , madaktari bana😭
Ebu msindikize hospitaliNilikua nakula nyama huku nafungua huu uzi daaaah....
Ila mwamba,nenda kacheki na damu yote...
Vitamini ipi?A,B,C,D au ipi?Pole sana, nilikutana na changamoto kama yako kwa zaidi ya miaka 10. Kunawakati nilikata tamaa na kusema acha maisha yaendelee. Toka Niko chuo mwaka 1 hadi wa 3 sikupona.
Nimeingia serikalini miaka 9 sikupona.
Nilitumia dawa nyingi sana za hospitali na mitishamba siku pona. Lakini dawa sahihi niliipata hapa jamii forum. Ni zaidi ya miaka 2 sasa niko safi sisumbuliwi tena.
Kuna mtu aliuliza dawa ya huo ugonjwa akaambiwa nenda kanywe dawa(vidonge) vya vitamin. Ndiyo, nilitumia hiyo mbinu tena nilitumia elfu tatu tu. Nikapona mazima.
Nilikunywa kwa siku 14.
Siku ya nne nilianza kuona mabadiliko
Ngizi ya Pumbu ilianza kuwa ngumu na baadhi ya ngozi zilikuwa zinatoka. Siku ya 7 ngozi ya pumbu ilianza kulainika sana. Siku ya kumi zilianza kurejesha rangi yake ya asili na hatimaye nilipona kabisa.
Hii tiba sahihi ya kwanza maishani mwangu ambayo niliipata jf na nikapona kabisa.
Nakushauri kama bado unasumbuliwa tafuta vidonge vya vitamin huenda ukapona.
Tatizo linaweza kuwa hiyo "kujisugua hadi damu" ukisugua ngozi hadi damu unakua unaharibu skin protection layer na hivyo kufanya iwe rahisi bacteria infections kuweza kufikia layer ya ndani na kusabaisha fungus. Lakini pia dalili ya aina hii ikiendelea kuwepo kwa zaidi ya wiki 2 wakati unatumia anti fungus creams fika hospitali pima HIVWakuu kama ni usafi huwa najisugua hadi damu, hadi majeraha, kama ni boxa ninazo zaidi ya 10, usafi nazinagtia.
Naombeni msaada kama una dawa au unafahamu dawa,
Hapa chini nimeambatanisha dawa zote nilizopewa nazotumia kutoka kwa madaktari lakini hakuna ahueni
Post in thread 'Fangasi za pumbu zimeanza kubandua ngozi na kutengeneza vijipele, msaada!' Fangasi za pumbu zimeanza kubandua ngozi na kutengeneza vijipele, msaada!
View attachment 3006692
View attachment 3006691
View attachment 3006693
Ulishawahi kutumia Candistat??Wakuu kama ni usafi huwa najisugua hadi damu, hadi majeraha, kama ni boxa ninazo zaidi ya 10, usafi nazinagtia.
Naombeni msaada kama una dawa au unafahamu dawa,
Hapa chini nimeambatanisha dawa zote nilizopewa nazotumia kutoka kwa madaktari lakini hakuna ahueni
Post in thread 'Fangasi za pumbu zimeanza kubandua ngozi na kutengeneza vijipele, msaada!' Fangasi za pumbu zimeanza kubandua ngozi na kutengeneza vijipele, msaada!
View attachment 3006692
View attachment 3006691
View attachment 3006693
Ndio lakini sikupata matokeo chanyaUlishawahi kutumia Candistat??
Asante sana mkuu,Pole sana, nilikutana na changamoto kama yako kwa zaidi ya miaka 10. Kunawakati nilikata tamaa na kusema acha maisha yaendelee. Toka Niko chuo mwaka 1 hadi wa 3 sikupona.
Nimeingia serikalini miaka 9 sikupona.
Nilitumia dawa nyingi sana za hospitali na mitishamba siku pona. Lakini dawa sahihi niliipata hapa jamii forum. Ni zaidi ya miaka 2 sasa niko safi sisumbuliwi tena.
Kuna mtu aliuliza dawa ya huo ugonjwa akaambiwa nenda kanywe dawa(vidonge) vya vitamin. Ndiyo, nilitumia hiyo mbinu tena nilitumia elfu tatu tu. Nikapona mazima.
Nilikunywa kwa siku 14.
Siku ya nne nilianza kuona mabadiliko
Ngizi ya Pumbu ilianza kuwa ngumu na baadhi ya ngozi zilikuwa zinatoka. Siku ya 7 ngozi ya pumbu ilianza kulainika sana. Siku ya kumi zilianza kurejesha rangi yake ya asili na hatimaye nilipona kabisa.
Hii tiba sahihi ya kwanza maishani mwangu ambayo niliipata jf na nikapona kabisa.
Nakushauri kama bado unasumbuliwa tafuta vidonge vya vitamin huenda ukapona.
DR Mambo JamboWakuu kama ni usafi huwa najisugua hadi damu, hadi majeraha, kama ni boxa ninazo zaidi ya 10, usafi nazinagtia.
Naombeni msaada kama una dawa au unafahamu dawa,
Hapa chini nimeambatanisha dawa zote nilizopewa nazotumia kutoka kwa madaktari lakini hakuna ahueni
Post in thread 'Fangasi za pumbu zimeanza kubandua ngozi na kutengeneza vijipele, msaada!' Fangasi za pumbu zimeanza kubandua ngozi na kutengeneza vijipele, msaada!
View attachment 3006692
View attachment 3006691
View attachment 3006693
Erosion?😁😁😁😁 Siyo ALIENATION au DEFORESTATION?😝😝🤣Pumbu Erosion hiyo mzee , apake ile dawa ya chupa ila inawasha kama umepaka sulphuric Acid😅
Mkuu Firigisi za Pale Mbagala Zakheem au Tandale?Nimeiangalia mara mbili mbili hiyo pumbu nimeshindwa kuielewa aiss ...imekaa kama firigisi!