Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
Okaya,, katafte uwanja wa kujigamba acha uzi wawatu upumue
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Okaya,, katafte uwanja wa kujigamba acha uzi wawatu upumue
Badoukohai??Allah fundiWakuu kama ni usafi huwa najisugua hadi damu, hadi majeraha, kama ni boxa ninazo zaidi ya 10, usafi nazinagtia.
Naombeni msaada kama una dawa au unafahamu dawa,
Hapa chini nimeambatanisha dawa zote nilizopewa nazotumia kutoka kwa madaktari lakini hakuna ahueni
Post in thread 'Fangasi za pumbu zimeanza kubandua ngozi na kutengeneza vijipele, msaada!' Fangasi za pumbu zimeanza kubandua ngozi na kutengeneza vijipele, msaada!
View attachment 3006692
View attachment 3006691
View attachment 3006693
Bila shaka itakuwa Kaswende mana nimewahi ugua, Pumbu linawasha balaa. Jamaa wakanigonga injection ya Powercef 5 mambo yakawa shwari, japo hakiwa rahisi kiivyo mana nilipigwa Pena du 5 zikagoma.Ukute ni mwanamke kakuambukiza kaswende
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwamba tatizo nn?ukitaka kula mke wamtu akikisha mume mchaga hawa makabila wengjne wanakurushia magonjwa hakuna rangi utakaa uone...kuna jamaa kla sana wake za watu mtaani kasoro wangu
Kilasaa anahisi kunya akienda choose hapati choo noma
Hizo alizoelekezwa mkuu ni sahihi.Mkuu pole sana, hebu kafanye culture and sensitivity hii itakupa dawa stahiki
Akifanya culture itasaidia kuonesha ni mdudu gani hasa anasumbua na yuko sensitive kwa dawa ipi, kwa hiyo itampa dawa specific na siyo broad spectrum.Hizo alizoelekezwa mkuu ni sahihi.
Maana Graseofulvin hutibu bacteria za ndani zinazochafua damu na mchafuko wowote wa ndani ya damu.
Fluconazole hutibu kila aina ya fangasi sugu na aina zote za STD/STIs hata pangusa inatibu hata kaswende na kisonono pamoja na fangasi aina zote.
Clotrimazole hutibu matatizo ya ngozi kwa nje.
Akasumbuke kupima tena ya nini mkuu.
Hizi nanii tunazitafuna kibishi ila zina balaaBila shaka itakuwa Kaswende mana nimewahi ugua, Pumbu linawasha balaa. Jamaa wakanigonga injection ya Powercef 5 mambo yakawa shwari, japo hakiwa rahisi kiivyo mana nilipigwa Pena du 5 zikagoma.
Uko sahihi japo nadhani hata hilo likifanyika huwenda akarudi kwenye dawa takriban zile zile.Akifanya culture itasaidia kuonesha ni mdudu gani hasa anasumbua na yuko sensitive kwa dawa ipi, kwa hiyo itampa dawa specific na siyo broad spectrum.