Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nini 😊☺️Duuuh
Kapige graseofulvin 4 weeks.Wakuu kama ni usafi huwa najisugua hadi damu, hadi majeraha, kama ni boxa ninazo zaidi ya 10, usafi nazinagtia.
Naombeni msaada kama una dawa au unafahamu dawa,
Hapa chini nimeambatanisha dawa zote nilizopewa nazotumia kutoka kwa madaktari lakini hakuna ahueni
Post in thread 'Fangasi za pumbu zimeanza kubandua ngozi na kutengeneza vijipele, msaada!' Fangasi za pumbu zimeanza kubandua ngozi na kutengeneza vijipele, msaada!
View attachment 3006692
View attachment 3006691
View attachment 3006693
Watu hii kitu hawajui mi nakumbuka nyumba niliyopanga ilikua na kisima cha maji chumvi makali mno bana si nikapataga huo ugonjwa na maji ya kawaida ya kuogea siku iyo sikua nayo nikajisemea tu ngoja leo nikanunue sabuni ya magadi nije kuogea haya maji ya chumvi aisee siku tatu huko chini hapawashi nikajisemea tu haya maji ndio tiba au hii sabuni ndio tiba.....hatimae we umekuja na jibu🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌Jaribu kuoshea maji ya chumvi.
tutahama sie tukuacheKumamamake wallah..!! JF sihami ng'weeeeeeeeee...!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimeiangalia mara mbili mbili hiyo pumbu nimeshindwa kuielewa aiss ...imekaa kama firigisi!
Inatibu nn hii hasa?Tumia hii dawa mkuu nakuambia itakusaidia .....
Mambo😊tutahama sie tukuache
Graseofulvin peke yake haitasaidia.Duuh ,
Hiyo Olive Oil ndo inafanya fangasi hao wazidi kuongezeka na kukuathiri zaidi
Kua na Boksa Kumi sio inshu kama HUZIPIGI PASI .yaan Kwa Ufupi utakua unajiambukizs wewe mwenyewe.
Cha kufanya.
Fua Boksa zako zote, zianikd juani vema, Kisha zipige PASI..hakikisha Kila siku unabadili Boksa, na Kila Boksa unayovaa hakikisha umepigwa PASI.
Nunua dawa hizi...
Terbinafine Cream, upakae Asubuh Jion Kwa muda wa wiki mbili.
Nunua na utumie ...
Tabs. Griseofulvin 500mg OD PO 1 month...yaan unakunywa Mara moja Kwa siku Kwa mwezi mzima
Usivae Boksa kama una majimaji mapajani , jifute vizuri ukauke.
Utapona !!.
Mkuu pole sana, hebu kafanye culture and sensitivity hii itakupa dawa stahikiWakuu kama ni usafi huwa najisugua hadi damu, hadi majeraha, kama ni boxa ninazo zaidi ya 10, usafi nazinagtia.
Naombeni msaada kama una dawa au unafahamu dawa,
Hapa chini nimeambatanisha dawa zote nilizopewa nazotumia kutoka kwa madaktari lakini hakuna ahueni
Post in thread 'Fangasi za pumbu zimeanza kubandua ngozi na kutengeneza vijipele, msaada!' Fangasi za pumbu zimeanza kubandua ngozi na kutengeneza vijipele, msaada!
View attachment 3006692
View attachment 3006691
View attachment 3006693
Siyo vizuri☺️usimfananishe mahi wetu na nyanyachungu izo
Poa vipMambo😊
😁😁Siyo vizuri☺️
😘Poa vip
Bado umelewa tu
Kwakweli..!!!tutahama sie tukuache
SijalewaBado umelewa tu
Mkuu punguza mbunye zitakuua? Kwa hali hii sasa unagegedaje?Wakuu kama ni usafi huwa najisugua hadi damu, hadi majeraha, kama ni boxa ninazo zaidi ya 10, usafi nazinagtia.
Naombeni msaada kama una dawa au unafahamu dawa,
Hapa chini nimeambatanisha dawa zote nilizopewa nazotumia kutoka kwa madaktari lakini hakuna ahueni
Post in thread 'Fangasi za pumbu zimeanza kubandua ngozi na kutengeneza vijipele, msaada!' Fangasi za pumbu zimeanza kubandua ngozi na kutengeneza vijipele, msaada!
View attachment 3006692
View attachment 3006691
View attachment 3006693
Umenukumbusha mbali mkuu, inauma balaa 😂😂Simple dawa nunua Ile tincture Iodine paka usiku baada ya kuoga Kwa siku 5 fua Pichu ukifua Anika juani halafu zipasi utakuja nishukuru baadae