PICHA: Korodani zangu zinateketea vibaya mno

PICHA: Korodani zangu zinateketea vibaya mno

Wakuu kama ni usafi huwa najisugua hadi damu, hadi majeraha, kama ni boxa ninazo zaidi ya 10, usafi nazinagtia.
Naombeni msaada kama una dawa au unafahamu dawa,

Hapa chini nimeambatanisha dawa zote nilizopewa nazotumia kutoka kwa madaktari lakini hakuna ahueni

Post in thread 'Fangasi za pumbu zimeanza kubandua ngozi na kutengeneza vijipele, msaada!' Fangasi za pumbu zimeanza kubandua ngozi na kutengeneza vijipele, msaada!
View attachment 3006692


View attachment 3006691
View attachment 3006693
Kapige graseofulvin 4 weeks.
Kapige na Fluconazole 4 weeks.
Na Clotrimazole cream ipake hadi iishe.
 
Jaribu kuoshea maji ya chumvi.
Watu hii kitu hawajui mi nakumbuka nyumba niliyopanga ilikua na kisima cha maji chumvi makali mno bana si nikapataga huo ugonjwa na maji ya kawaida ya kuogea siku iyo sikua nayo nikajisemea tu ngoja leo nikanunue sabuni ya magadi nije kuogea haya maji ya chumvi aisee siku tatu huko chini hapawashi nikajisemea tu haya maji ndio tiba au hii sabuni ndio tiba.....hatimae we umekuja na jibu🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
 
Ulishasikia lile tangazo la dawa ya mende, kunguni, viroboto tango tango fangazi mapele ni 2500 tu nunua changanya na kikopo cha mafuta ya mgando halafu jipake asubuhi na jioni.

Nimewahi kuitumia na hapo ni baada ya kutumia zaidi ya laki moja kujitibu na sindano, jely na vidonge ila dawa ya 2,500 tu ikamaliza kila kitu.
 
Duuh ,

Hiyo Olive Oil ndo inafanya fangasi hao wazidi kuongezeka na kukuathiri zaidi

Kua na Boksa Kumi sio inshu kama HUZIPIGI PASI .yaan Kwa Ufupi utakua unajiambukizs wewe mwenyewe.

Cha kufanya.


Fua Boksa zako zote, zianikd juani vema, Kisha zipige PASI..hakikisha Kila siku unabadili Boksa, na Kila Boksa unayovaa hakikisha umepigwa PASI.


Nunua dawa hizi...

Terbinafine Cream, upakae Asubuh Jion Kwa muda wa wiki mbili.


Nunua na utumie ...

Tabs. Griseofulvin 500mg OD PO 1 month...yaan unakunywa Mara moja Kwa siku Kwa mwezi mzima




Usivae Boksa kama una majimaji mapajani , jifute vizuri ukauke.


Utapona !!.
Graseofulvin peke yake haitasaidia.
Apate na Fluconazole maana hiyo yaonekana ni kama maambukizi ya bacteria wa magonjwa ya zinaa.
 
Wakuu kama ni usafi huwa najisugua hadi damu, hadi majeraha, kama ni boxa ninazo zaidi ya 10, usafi nazinagtia.
Naombeni msaada kama una dawa au unafahamu dawa,

Hapa chini nimeambatanisha dawa zote nilizopewa nazotumia kutoka kwa madaktari lakini hakuna ahueni

Post in thread 'Fangasi za pumbu zimeanza kubandua ngozi na kutengeneza vijipele, msaada!' Fangasi za pumbu zimeanza kubandua ngozi na kutengeneza vijipele, msaada!
View attachment 3006692


View attachment 3006691
View attachment 3006693
Mkuu pole sana, hebu kafanye culture and sensitivity hii itakupa dawa stahiki
 
Wakuu kama ni usafi huwa najisugua hadi damu, hadi majeraha, kama ni boxa ninazo zaidi ya 10, usafi nazinagtia.
Naombeni msaada kama una dawa au unafahamu dawa,

Hapa chini nimeambatanisha dawa zote nilizopewa nazotumia kutoka kwa madaktari lakini hakuna ahueni

Post in thread 'Fangasi za pumbu zimeanza kubandua ngozi na kutengeneza vijipele, msaada!' Fangasi za pumbu zimeanza kubandua ngozi na kutengeneza vijipele, msaada!
View attachment 3006692


View attachment 3006691
View attachment 3006693
Mkuu punguza mbunye zitakuua? Kwa hali hii sasa unagegedaje?
 
Back
Top Bottom