PICHA: Korodani zangu zinateketea vibaya mno

PICHA: Korodani zangu zinateketea vibaya mno

Wakuu kama ni usafi huwa najisugua hadi damu, hadi majeraha, kama ni boxa ninazo zaidi ya 10, usafi nazinagtia.
Naombeni msaada kama una dawa au unafahamu dawa,

Hapa chini nimeambatanisha dawa zote nilizopewa nazotumia kutoka kwa madaktari lakini hakuna ahueni

Post in thread 'Fangasi za pumbu zimeanza kubandua ngozi na kutengeneza vijipele, msaada!' Fangasi za pumbu zimeanza kubandua ngozi na kutengeneza vijipele, msaada!
View attachment 3006692


View attachment 3006691
View attachment 3006693
Mkuu umepima Ngoma?
 
Wakuu kama ni usafi huwa najisugua hadi damu, hadi majeraha, kama ni boxa ninazo zaidi ya 10, usafi nazinagtia.
Naombeni msaada kama una dawa au unafahamu dawa,

Hapa chini nimeambatanisha dawa zote nilizopewa nazotumia kutoka kwa madaktari lakini hakuna ahueni

Post in thread 'Fangasi za pumbu zimeanza kubandua ngozi na kutengeneza vijipele, msaada!' Fangasi za pumbu zimeanza kubandua ngozi na kutengeneza vijipele, msaada!
View attachment 3006692


View attachment 3006691
View attachment 3006693
Duuh ,

Hiyo Olive Oil ndo inafanya fangasi hao wazidi kuongezeka na kukuathiri zaidi

Kua na Boksa Kumi sio inshu kama HUZIPIGI PASI .yaan Kwa Ufupi utakua unajiambukizs wewe mwenyewe.

Cha kufanya.


Fua Boksa zako zote, zianikd juani vema, Kisha zipige PASI..hakikisha Kila siku unabadili Boksa, na Kila Boksa unayovaa hakikisha umepigwa PASI.


Nunua dawa hizi...

Terbinafine Cream, upakae Asubuh Jion Kwa muda wa wiki mbili.


Nunua na utumie ...

Tabs. Griseofulvin 500mg OD PO 1 month...yaan unakunywa Mara moja Kwa siku Kwa mwezi mzima




Usivae Boksa kama una majimaji mapajani , jifute vizuri ukauke.


Utapona !!.
 
Duh upo kwenye hatari ya kupata ngoma maana hapo lazima michubuko ni mingi..lakini kwann unatumia mupirocin wakati hayo ni mafangas??dawa hiyo ointment inatibu bacterial infections tu.
 
Wakuu kama ni usafi huwa najisugua hadi damu, hadi majeraha, kama ni boxa ninazo zaidi ya 10, usafi nazinagtia.
Naombeni msaada kama una dawa au unafahamu dawa,

Hapa chini nimeambatanisha dawa zote nilizopewa nazotumia kutoka kwa madaktari lakini hakuna ahueni

Post in thread 'Fangasi za pumbu zimeanza kubandua ngozi na kutengeneza vijipele, msaada!' Fangasi za pumbu zimeanza kubandua ngozi na kutengeneza vijipele, msaada!
View attachment 3006692


View attachment 3006691
View attachment 3006693
Duuh! Korodani zimeoza au ni macho yangu?!! Pole sana! Ila pia unaonekana sio msafi, hiyo mivuzi si unyoe, mtu una maradhi lakini bado unafuga mivuzi hivyo
 
20240602_163856.jpg


Utakuwa unatumia msasa kujifuta. Demu akiiona hilo poumbou hata ukimuhonga million atakataa. Dah poumbou maamaee is fuckin scary.

Damnfuck maamaee!
 
Wakuu kama ni usafi huwa najisugua hadi damu, hadi majeraha, kama ni boxa ninazo zaidi ya 10, usafi nazinagtia.
Naombeni msaada kama una dawa au unafahamu dawa,

Hapa chini nimeambatanisha dawa zote nilizopewa nazotumia kutoka kwa madaktari lakini hakuna ahueni

Post in thread 'Fangasi za pumbu zimeanza kubandua ngozi na kutengeneza vijipele, msaada!' Fangasi za pumbu zimeanza kubandua ngozi na kutengeneza vijipele, msaada!
View attachment 3006692


View attachment 3006691
View attachment 3006693
Jambo dogo sana hilo. Kunadawa inaitwa anti fango lotion au dawa ya MBA huwa inatumika sana kutibu mapunye, Ina rangi ya kijani hivi. Hiyo nikiboko ya magonjwa ya ngozi afu ni bei ndogo tu kitu kama buku mbili au buku jero. Lakini inauma nibaraa ila nikwamuda na kupona ni guarantee. Uttanisshukuru badae
 
Back
Top Bottom