Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanakuzeesha na kukubemenda kwa mpigo.Wakuache.Mmh hapana
Wengi wamekimbilia kuona pichaLeo humu mmeamua kutuonesha mabalaa.....eeh
Pumbu kama got la mbuzi. Pangusa hivyo. Si tunawaambia muache ngono mnajifanya mabingwa wa kushindana na mlipotoka.Wakuu kama ni usafi huwa najisugua hadi damu, hadi majeraha, kama ni boxa ninazo zaidi ya 10, usafi nazinagtia.
Naombeni msaada kama una dawa au unafahamu dawa,
Hapa chini nimeambatanisha dawa zote nilizopewa nazotumia kutoka kwa madaktari lakini hakuna ahueni
Post in thread 'Fangasi za pumbu zimeanza kubandua ngozi na kutengeneza vijipele, msaada!' Fangasi za pumbu zimeanza kubandua ngozi na kutengeneza vijipele, msaada!
View attachment 3006692
View attachment 3006691
View attachment 3006693
Ya poomboo si mzigo?Wengi wamekimbilia kuona picha
Hawa wagonjwa nao wana maksudi, si waende hospital wakaoneshe madr....Wengi wamekimbilia kuona picha
Hahaaaaaa pumbu kama goti la mbuzi.Nimeiangalia mara mbili mbili hiyo pumbu nimeshindwa kuielewa aiss ...imekaa kama firigisi!
Waache ngono au wafanye ngono salama-salmina?Pumbu kama got la mbuzi. Pangusa hivyo. Si tunawaambia muache ngono mnajifanya mabingwa wa kushindana na mlipotoka.
Hahaaaaa kuna ugonjwa unaitwa Pumbu erosion? Eti atumie MULTIVITAMIN. Hiyo ni Pangusa mkuu.Pole sana ndugu! Hiyo ni pumbu erosion, nenda farmacy nunua MULTIVITAMIN tumia kama utakavyoelekezwa na muhudumu baada ya wiki mbili rudi hapa utoe ushuhuda. Fanya hivyo ndugu yangu kama hujalogwa utapona ndani ya wiki moja hadi mbili.
Kuna jamaa humu alikua na tatizo kama lako akapewa namba ya mtaalamu wa miti shamba!! akaponaWakuu kama ni usafi huwa najisugua hadi damu, hadi majeraha, kama ni boxa ninazo zaidi ya 10, usafi nazinagtia.
Naombeni msaada kama una dawa au unafahamu dawa,
Hapa chini nimeambatanisha dawa zote nilizopewa nazotumia kutoka kwa madaktari lakini hakuna ahueni
Post in thread 'Fangasi za pumbu zimeanza kubandua ngozi na kutengeneza vijipele, msaada!' Fangasi za pumbu zimeanza kubandua ngozi na kutengeneza vijipele, msaada!
View attachment 3006692
View attachment 3006691
View attachment 3006693
DR Mambo Jambo Carlos The JackalWakuu kama ni usafi huwa najisugua hadi damu, hadi majeraha, kama ni boxa ninazo zaidi ya 10, usafi nazinagtia.
Naombeni msaada kama una dawa au unafahamu dawa,
Hapa chini nimeambatanisha dawa zote nilizopewa nazotumia kutoka kwa madaktari lakini hakuna ahueni
Post in thread 'Fangasi za pumbu zimeanza kubandua ngozi na kutengeneza vijipele, msaada!' Fangasi za pumbu zimeanza kubandua ngozi na kutengeneza vijipele, msaada!
View attachment 3006692
View attachment 3006691
View attachment 3006693
Kuna wengine hawajawahi kuona korodaniHawa wagonjwa nao wana maksudi, si waende hospital wakaoneshe madr....
🙆🤓Una balaaa we jamaaHahaaaaaa pumbu kama goti la mbuzi.