PICHA: Korodani zangu zinateketea vibaya mno

PICHA: Korodani zangu zinateketea vibaya mno

Pole sana ndugu! Hiyo ni pumbu erosion, nenda farmacy nunua MULTIVITAMIN tumia kama utakavyoelekezwa na muhudumu baada ya wiki mbili rudi hapa utoe ushuhuda. Fanya hivyo ndugu yangu kama hujalogwa utapona ndani ya wiki moja hadi mbili.
 
Wakuu kama ni usafi huwa najisugua hadi damu, hadi majeraha, kama ni boxa ninazo zaidi ya 10, usafi nazinagtia.
Naombeni msaada kama una dawa au unafahamu dawa,

Hapa chini nimeambatanisha dawa zote nilizopewa nazotumia kutoka kwa madaktari lakini hakuna ahueni

Post in thread 'Fangasi za pumbu zimeanza kubandua ngozi na kutengeneza vijipele, msaada!' Fangasi za pumbu zimeanza kubandua ngozi na kutengeneza vijipele, msaada!
View attachment 3006692


View attachment 3006691
View attachment 3006693
Pumbu kama got la mbuzi. Pangusa hivyo. Si tunawaambia muache ngono mnajifanya mabingwa wa kushindana na mlipotoka.
 
Pole sana ndugu! Hiyo ni pumbu erosion, nenda farmacy nunua MULTIVITAMIN tumia kama utakavyoelekezwa na muhudumu baada ya wiki mbili rudi hapa utoe ushuhuda. Fanya hivyo ndugu yangu kama hujalogwa utapona ndani ya wiki moja hadi mbili.
Hahaaaaa kuna ugonjwa unaitwa Pumbu erosion? Eti atumie MULTIVITAMIN. Hiyo ni Pangusa mkuu.
 
Wakuu kama ni usafi huwa najisugua hadi damu, hadi majeraha, kama ni boxa ninazo zaidi ya 10, usafi nazinagtia.
Naombeni msaada kama una dawa au unafahamu dawa,

Hapa chini nimeambatanisha dawa zote nilizopewa nazotumia kutoka kwa madaktari lakini hakuna ahueni

Post in thread 'Fangasi za pumbu zimeanza kubandua ngozi na kutengeneza vijipele, msaada!' Fangasi za pumbu zimeanza kubandua ngozi na kutengeneza vijipele, msaada!
View attachment 3006692


View attachment 3006691
View attachment 3006693
Kuna jamaa humu alikua na tatizo kama lako akapewa namba ya mtaalamu wa miti shamba!! akapona

Kifupi hawa fungus wamekua sugu kwasababu ya matumizi holela ya dawa
 
Wakuu kama ni usafi huwa najisugua hadi damu, hadi majeraha, kama ni boxa ninazo zaidi ya 10, usafi nazinagtia.
Naombeni msaada kama una dawa au unafahamu dawa,

Hapa chini nimeambatanisha dawa zote nilizopewa nazotumia kutoka kwa madaktari lakini hakuna ahueni

Post in thread 'Fangasi za pumbu zimeanza kubandua ngozi na kutengeneza vijipele, msaada!' Fangasi za pumbu zimeanza kubandua ngozi na kutengeneza vijipele, msaada!
View attachment 3006692


View attachment 3006691
View attachment 3006693
DR Mambo Jambo Carlos The Jackal
 
Back
Top Bottom