asubuhi sana
JF-Expert Member
- Mar 18, 2015
- 1,667
- 1,411
mkuu kama umetumia dawa yoyote na bado hali iko vile vilee jaribu kutumiaa dawa hizi mana nilishawahi kupigwa na fangasi nikazitumia zikaleta manaikio makubwa…. Cha kwanza tumiaa dawa ya allergy - citrizin( dawa hii itakuondolea kama kuna muwasho )
Pili.. tumia dawa inaitwa Fluu… dose ni siku saba … kidonge kimoja kimoja ( dose elfu saba)
Tatu… tumia dawa ya kupakaa… gentrozone cream… inauzwa 4000
Tatu… Tumia mafuta ya kujipakaa yasio kuwa na kekikali …Mfano tumia mafuta ya mgando ..( Baby Care … yale mafuta kopo rangi jeupe)
Maliza Dose then utanambia mkuu … Kila la kheri …. Fangasi ilinikomesha acha kabisa nilitumia zaidi ya Laki moja kujiuuguza 🥹 kwahiyo maumivu unayoyapata yanajuaa mkuu… kila la kheri
Pili.. tumia dawa inaitwa Fluu… dose ni siku saba … kidonge kimoja kimoja ( dose elfu saba)
Tatu… tumia dawa ya kupakaa… gentrozone cream… inauzwa 4000
Tatu… Tumia mafuta ya kujipakaa yasio kuwa na kekikali …Mfano tumia mafuta ya mgando ..( Baby Care … yale mafuta kopo rangi jeupe)
Maliza Dose then utanambia mkuu … Kila la kheri …. Fangasi ilinikomesha acha kabisa nilitumia zaidi ya Laki moja kujiuuguza 🥹 kwahiyo maumivu unayoyapata yanajuaa mkuu… kila la kheri
u kamahabari Mkuu kamaWakuu kama ni usafi huwa najisugua hadi damu, hadi majeraha, kama ni boxa ninazo zaidi ya 10, usafi nazinagtia.
Naombeni msaada kama una dawa au unafahamu dawa,
Hapa chini nimeambatanisha dawa zote nilizopewa nazotumia kutoka kwa madaktari lakini hakuna ahueni
Post in thread 'Fangasi za pumbu zimeanza kubandua ngozi na kutengeneza vijipele, msaada!' Fangasi za pumbu zimeanza kubandua ngozi na kutengeneza vijipele, msaada!
View attachment 3006692
View attachment 3006691
View attachment 3006693