PICHA: Korodani zangu zinateketea vibaya mno

PICHA: Korodani zangu zinateketea vibaya mno

mkuu kama umetumia dawa yoyote na bado hali iko vile vilee jaribu kutumiaa dawa hizi mana nilishawahi kupigwa na fangasi nikazitumia zikaleta manaikio makubwa…. Cha kwanza tumiaa dawa ya allergy - citrizin( dawa hii itakuondolea kama kuna muwasho )

Pili.. tumia dawa inaitwa Fluu… dose ni siku saba … kidonge kimoja kimoja ( dose elfu saba)

Tatu… tumia dawa ya kupakaa… gentrozone cream… inauzwa 4000

Tatu… Tumia mafuta ya kujipakaa yasio kuwa na kekikali …Mfano tumia mafuta ya mgando ..( Baby Care … yale mafuta kopo rangi jeupe)


Maliza Dose then utanambia mkuu … Kila la kheri …. Fangasi ilinikomesha acha kabisa nilitumia zaidi ya Laki moja kujiuuguza 🥹 kwahiyo maumivu unayoyapata yanajuaa mkuu… kila la kheri
Wakuu kama ni usafi huwa najisugua hadi damu, hadi majeraha, kama ni boxa ninazo zaidi ya 10, usafi nazinagtia.
Naombeni msaada kama una dawa au unafahamu dawa,

Hapa chini nimeambatanisha dawa zote nilizopewa nazotumia kutoka kwa madaktari lakini hakuna ahueni

Post in thread 'Fangasi za pumbu zimeanza kubandua ngozi na kutengeneza vijipele, msaada!' Fangasi za pumbu zimeanza kubandua ngozi na kutengeneza vijipele, msaada!
View attachment 3006692


View attachment 3006691
View attachment 3006693
u kamahabari Mkuu kama
 
Acha tabia ya kutembea na wake za watu.
Infection hiyo tayari ipo ndani ya damu, kuua fangus iliyoingia kwenye damu ni kazi kubwa.
ukizubaa kansa inakuwinda mdogo mdogo.
Acha kutumia hivyo vi tube - menda hosp kubwa waone madaktari bingwa wakushauri kabla mambo hayajaharibika zaidi.
 
Ngozi ya juu ya pumbu iliyokuwa imeharibiwa vibaya imeshabanduka yote, kwasasa imebaki ya chini nyepesi nayo naona tena imeanza kuathiriwa, hapa sijui nifanyeje wakuu
nunua vitamin B COMPLEX hii ni kiboko! niliyajulia hapa hapa jf kwenye uzi wa kufanania na huu.. nilitumia kwa siku kama nne tu nikapona ugonjwa uliokuwa umedumu kwa zaidi ya miezi mitatu, hayo matube yote ni ubatili mtupu
 
nyongeza; usivae boksa, vaa chupi laini (pamba) yenye uwezo wa kuzishika pumbu vizuri wakati unapotembea ili zisichubuke
b; ukihisii aina yoyote ya kamuwasho, usijikune kwa kucha (hilo ni kosa kubwa sana na bila shaka unalifanya)

Mafuta unayojipaka (yawe ya mgando, kuna mdau kapendekeza yasiyo na kemikali) yanyunyizie maji ya limau wakati wa kujipaka
 
Osha kwa maji ya vugu vugu kisha tumia hii, asubuhi na jioni.
BBE haizidi 3000; hii ndio suluhisho.
BBE.jpg
 
Ushauri mwingi uliopewa humu haufanyi kazi.. Kwanza hupaswi kuendelea kutumia dawa za maji na mafuta tena kwa hali hiyo. Hapo ni sindano, vidonge na dawa za poda.
Mimi sio daktari lakini hapo haudeal na fungus tu! Nadhani either tayari Kuna bacteria na virus

Acha madaktari wa buku jero, nenda kaonane na daktari mwenye shule ya kutosha utachomoka
Ngozi ya juu ya pumbu iliyokuwa imeharibiwa vibaya imeshabanduka yote, kwasasa imebaki ya chini nyepesi nayo naona tena imeanza kuathiriwa, hapa sijui nifanyeje wakuu
 
Back
Top Bottom