Picha kutoka maktaba,,,sasa hivi ni bilionea mkubwa huyu

Picha kutoka maktaba,,,sasa hivi ni bilionea mkubwa huyu

Ilikuwa ni miaka ya 1970s mitaa ya urusi,,,,,na sasa hivi ni bilionea mkubwa sana[emoji3] [emoji3] [emoji23]
dda9a771c7b530da7ac684986675d6f5.jpg

6d41c6978c70ff1bde3d77b7aa53c2a6.jpg

aise uzee mbaya sana ukiwa kapuku ni mbaya zaidi
 
Come on! Hizo nguo tumezivaa sana miaka hiyo ya 70. Nguo hizo huwa zinakuja na kuondoka, zinakuja na kuondoka, zinakuja na kuondoka miaka na miaka. Hiyo ni picha ya Dr Shika mwenyewe kabisa katika miaka hiyo.
Huyo jamaa anaitwa phillipo

Huyu sio Dr shika
 
Daaaaa kama n yy kweli,alikuwa hb kinyama
 
Come on! Hizo nguo tumezivaa sana miaka hiyo ya 70. Nguo hizo huwa zinakuja na kuondoka, zinakuja na kuondoka, zinakuja na kuondoka miaka na miaka. Hiyo ni picha ya Dr Shika mwenyewe kabisa katika miaka hiyo.
Watu hawajui kama fashion znakuja nna kuondoka pia picha za urusi miaka hyo hazikuwa sawa na tz,,,,,,msibishe jaman toeni hoja nyingne
 
Wabongo ukiwaletea jambo hata hawaulizi wanaamini


Sasa hio picha kwa kuitizama ni ya 1970 au ya juzi tu
bwana we kuna mambo ya kuumiza kichwa, me nshaona anafanana nae safi tu...sababu trending yake its an enjoyment to me, i dnt take things like this serious!

nianze kuumiza kichwa na mambo yangu ya kuumiza kichwa nifanyaje,
dr shika alikuwa hb enzi zake aisee...teh teh

i dont care [emoji1][emoji1][emoji1]
 
Back
Top Bottom