Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ulaya mkuu siyo bongo... ulaya hayo mambo kitambo sana... ni yy100% kama unajua kufananisha picha no doubt kuhusu hiloHilo shati alilovaa na quality ya picha na raba haviendani na miaka ya 70's. ukitumia 0.00% ya akili utagundua kuwa huyo sio dr.
Hata hiyo ya kusema kazaliwa mwaka huo 1969 na hata passport yake inaonyesha hivyo lakini mimi nina mashaka nayo...!Acha uongo blaza huyo dingi alizaliwa 1969 sasa iweje picha za 70's ziwe hivo??
Na ww unaamini kabisa hio ilikuwa 1970?
Daah si kweli colored film photos mbona ipo ulaya kitambo late 70's kuendelea. Kupinga siye wakati sura inaonekana haipendezi kabisaMiaka ya 1980's nadhani picha zilikuwa black and white.
Hadi wenye chura wanamfuata Dr wanajua pesa itawàsili muda si mrefuA new babe in town![emoji53][emoji53][emoji53]
[emoji23][emoji23][emoji23]Hadi wenye chura wanamfuata Dr wanajua pesa itawàsili muda si mrefu
Mkuu kuna watu wanafanana humu duniani huwezi amini...! unaweza enda zimbabwe ukakutana na mtu anafanana na jamaa yako huku bongo hadi ukashangaa na ukamkimbilia kabisa ukimuita kumbe ni mzimbabwe wa watu!!Daah si kweli colored film photos mbona ipo ulaya kitambo late 70's kuendelea. Kupinga siye wakati sura inaonekana haipendezi kabisa
Kumbe na mabinti wa kichaga wana uwezo mkubwa wa kupetipeti!!!?? Nilikuwa silijui hili...ngoja akutane na mtoto wa kichaga ampe mtori wiki mbili, maziwa na michemsho ya ndizi ya kutosha na avishwe vizuri sasa hivi atarudia hali yake bado mdogo sana.
KGB wakati wanamtesa mpaka kumkata vidole na meno waling'oa kwa kutumia praizi bila ganziShika kashikilia mutoto [emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]
Alikua bishoo daah
Urusi sio kuzuri kabisa sasahivi hata meno hana
Wapi mtoa mada kaandika kuwa huyo ni Dr. Shika? Punguzeni mapepe kusoma juu juu mnakuwa hamuelewi bora muwe mnasoma twiceHuyu jamaa mbona ana muonekano wa kiafrika magharibi, alafu mtoa post unasema ni Dr shika
Ni yeyesidhani na siamimi huyo ni dr. shika.