Picha kutoka maktaba,,,sasa hivi ni bilionea mkubwa huyu

Picha kutoka maktaba,,,sasa hivi ni bilionea mkubwa huyu

Bado tunasubiria mabilioni yetu kutoka kwa mzee Putin.
 
Hilo shati alilovaa na quality ya picha na raba haviendani na miaka ya 70's. ukitumia 0.00% ya akili utagundua kuwa huyo sio dr.
Hiyo ulaya mkuu siyo bongo... ulaya hayo mambo kitambo sana... ni yy100% kama unajua kufananisha picha no doubt kuhusu hilo
 
Acha uongo blaza huyo dingi alizaliwa 1969 sasa iweje picha za 70's ziwe hivo??
Hata hiyo ya kusema kazaliwa mwaka huo 1969 na hata passport yake inaonyesha hivyo lakini mimi nina mashaka nayo...!
ukimuangalia vizuri Dr. shika umri wake si chini ya miaka 60!! sasa leo ukiniambia dr. shika kwa muonekano ule ana miaka 48 lazima lazima nishangae!!
 
Miaka ya 1980's nadhani picha zilikuwa black and white.
Daah si kweli colored film photos mbona ipo ulaya kitambo late 70's kuendelea. Kupinga siye wakati sura inaonekana haipendezi kabisa
 
Daah si kweli colored film photos mbona ipo ulaya kitambo late 70's kuendelea. Kupinga siye wakati sura inaonekana haipendezi kabisa
Mkuu kuna watu wanafanana humu duniani huwezi amini...! unaweza enda zimbabwe ukakutana na mtu anafanana na jamaa yako huku bongo hadi ukashangaa na ukamkimbilia kabisa ukimuita kumbe ni mzimbabwe wa watu!!
 
ngoja akutane na mtoto wa kichaga ampe mtori wiki mbili, maziwa na michemsho ya ndizi ya kutosha na avishwe vizuri sasa hivi atarudia hali yake bado mdogo sana.
Kumbe na mabinti wa kichaga wana uwezo mkubwa wa kupetipeti!!!?? Nilikuwa silijui hili...
 
Picha za miaka ya 70 zimepostiwa na mtu aliyezaliwa miaka ya 2000.

Acheni kutufanya wajinga ingawa wakati mwingine kudanganya inapendeza zaidi.
 
Huyu jamaa mbona ana muonekano wa kiafrika magharibi, alafu mtoa post unasema ni Dr shika
 
Shika kashikilia mutoto [emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]

Alikua bishoo daah

Urusi sio kuzuri kabisa sasahivi hata meno hana
KGB wakati wanamtesa mpaka kumkata vidole na meno waling'oa kwa kutumia praizi bila ganzi
 
Back
Top Bottom