Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa ndio wanaongoza tena wao wapo kifamilia zaidi hawataki utani ukikamatwa vizuri lazima uoweKumbe na mabinti wa kichaga wana uwezo mkubwa wa kupetipeti!!!?? Nilikuwa silijui hili...
Tupe ushahd tukuaminiMtoa post muongo
Huyo jamaa anaitwa phillipo
Come on! Hizo nguo tumezivaa sana miaka hiyo ya 70. Nguo hizo huwa zinakuja na kuondoka, zinakuja na kuondoka, zinakuja na kuondoka miaka na miaka. Hiyo ni picha ya Dr Shika mwenyewe kabisa katika miaka hiyo.
Huyo anaitwa PHILIPO MRISHO kasoma TASUBATupe ushahd tukuamini
Makenzi sio ya leo, ni yeye huyu! Mavazi haya sio ya leo.mavazi hayo sio ya miaka hiyo .
huyo soo dr.shika
Siamini ni miaka ya 70s, ila ni.miaka ya 80s, mashati ya Makenzi yalikuwepo miaka hiyoWabongo ukiwaletea jambo hata hawaulizi wanaamini
Sasa hio picha kwa kuitizama ni ya 1970 au ya juzi tu
Tuko nyuma, wenzetu mbele. Picha za TZ miaka ya 80s ni sawa na picha za USSR miaka ya 60s.Watu hawajui kama fashion znakuja nna kuondoka pia picha za urusi miaka hyo hazikuwa sawa na tz,,,,,,msibishe jaman toeni hoja nyingne
Wewe ndio mkweli huyo sio dr Shika wabongo wanapenda kulishwa matango pori ndio maana sishangai babu wa Loliondo aliwaingiza chaka karibu nchi nzima. Huyo kijana keshajitokeza anaitwa Philipo Mrisho mkitaka mumsearch facebook mtampata.Huyo anaitwa PHILIPO MRISHO kasoma TASUBA
Ushahidi gani niwape ,Id card yake au ?
Zilikuwepo kuanzia miaka ya 70 mwanzoni, picha za mnato, picha za mtembeo zilikuwa bado.Hiyo miaka kulikuwa na camera za rangi
Screen shotHuyo anaitwa PHILIPO MRISHO kasoma TASUBA
Ushahidi gani niwape ,Id card yake au ?
alienda Urusi 1984Hilo shati alilovaa na quality ya picha na raba haviendani na miaka ya 70's. ukitumia 0.00% ya akili utagundua kuwa huyo sio dr.
Nakubaliana nawe mkuu.Hizi picha siziamini ...1970 kweli mbona mitoko hii kama ya miaka ya 2000
plus kitenge au kitambaa cha makenzi.. inaonyesha jamaa alikuwa anavaa wakati ujao..
Kweli waTanzania tumeshaachana na matumizi ya akili zetu......
Watu hawajui kama fashion znakuja nna kuondoka pia picha za urusi miaka hyo hazikuwa sawa na tz,,,,,,msibishe jaman toeni hoja nyingne
Mkuu ukiwa mrs Shika una shared ownership ya nyumba za Lugumi.
aise uzee mbaya sana ukiwa kapuku ni mbaya zaidi
aisee kweli uzee mbayaa...[emoji134][emoji134]
Saiv mabinti wa bongo wanamuona kama anavoonekana kwenye picha
Kumbe alikua sharo
Watu mnafukunyua kweli
Shika kashikilia mutoto [emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]
Alikua bishoo daah
Urusi sio kuzuri kabisa sasahivi hata meno hana
A new babe in town![emoji53][emoji53][emoji53]
Jamaa alikuwa vizuri sana kiukweli kiakili na body structure.
Aise mnajua kuchimbua.
Kweli ujana ni maji ya moto
Dk.Luis Shika
Ni yeye Dr Shika. Maisha yakikubadilikia hutaamini.
Aise alikuwa mchalo Dr
Ilikuwa ni miaka ya 1980s mitaa ya urusi,,,,,na sasa hivi ni bilionea mkubwa sana[emoji3] [emoji3] [emoji23]![]()
![]()
Screen shot
Unachokiona porini huku majuu kimeanza long time.
Zilikuwepo ndugu... Mwenyewe nilikuwa nazo
Jamaa kabadilika sababu ya mateso makali