Picha kutoka maktaba,,,sasa hivi ni bilionea mkubwa huyu

Picha kutoka maktaba,,,sasa hivi ni bilionea mkubwa huyu

jamaa anaonekana alikuwa mtu wa misuli sana....

wale watu wa pcm, pcb n.k mshanielewa
 
Kumbe na mabinti wa kichaga wana uwezo mkubwa wa kupetipeti!!!?? Nilikuwa silijui hili...
Sasa ndio wanaongoza tena wao wapo kifamilia zaidi hawataki utani ukikamatwa vizuri lazima uowe
 
Come on! Hizo nguo tumezivaa sana miaka hiyo ya 70. Nguo hizo huwa zinakuja na kuondoka, zinakuja na kuondoka, zinakuja na kuondoka miaka na miaka. Hiyo ni picha ya Dr Shika mwenyewe kabisa katika miaka hiyo.

Miaka ya 70 wanawake walikua wanavaa pedo pusha za hivo??

Kama kweli wewe miaka ya 70 "ulizivaa" hizo McKenzie ungeshituka kuwa hio picha ni uongo. Sio Dr Shika huyo
 
Watu hawajui kama fashion znakuja nna kuondoka pia picha za urusi miaka hyo hazikuwa sawa na tz,,,,,,msibishe jaman toeni hoja nyingne
Tuko nyuma, wenzetu mbele. Picha za TZ miaka ya 80s ni sawa na picha za USSR miaka ya 60s.
 
Huyo anaitwa PHILIPO MRISHO kasoma TASUBA


Ushahidi gani niwape ,Id card yake au ?
Wewe ndio mkweli huyo sio dr Shika wabongo wanapenda kulishwa matango pori ndio maana sishangai babu wa Loliondo aliwaingiza chaka karibu nchi nzima. Huyo kijana keshajitokeza anaitwa Philipo Mrisho mkitaka mumsearch facebook mtampata.
 
Jamani angalieni hayo mavazi ni ya miaka hiyo kweli au ndio tunashikana masikio tu!!
 
Kilichobakia kuendelea kufanana naye ni mfumo wa nywele zinapokutania mbele katika paji la uso wake.
Mengine ukimwambia mtu kwamba ni yeye, mtabishana kama "matoto"
 
Unajua, ujana ni maji ya moto!! Misuli, mishipa na ubongo hufanya kazi ktk viwango vya hali ya juu sana, hivyo usishangae ukiona picha zako ukiwa 20th na 30th zikiwa tofauti sana na ukiwa 40th
 
f6c8aa84e1e9ad6850816a66c5ee5816.jpg
 
plus kitenge au kitambaa cha makenzi.. inaonyesha jamaa alikuwa anavaa wakati ujao..
Kweli waTanzania tumeshaachana na matumizi ya akili zetu......
Watu hawajui kama fashion znakuja nna kuondoka pia picha za urusi miaka hyo hazikuwa sawa na tz,,,,,,msibishe jaman toeni hoja nyingne
Mkuu ukiwa mrs Shika una shared ownership ya nyumba za Lugumi.
aise uzee mbaya sana ukiwa kapuku ni mbaya zaidi
aisee kweli uzee mbayaa...[emoji134][emoji134]
Saiv mabinti wa bongo wanamuona kama anavoonekana kwenye picha
Kumbe alikua sharo
Watu mnafukunyua kweli
Shika kashikilia mutoto [emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]

Alikua bishoo daah

Urusi sio kuzuri kabisa sasahivi hata meno hana
A new babe in town![emoji53][emoji53][emoji53]
Jamaa alikuwa vizuri sana kiukweli kiakili na body structure.
Aise mnajua kuchimbua.
Kweli ujana ni maji ya moto
Dk.Luis Shika
Ni yeye Dr Shika. Maisha yakikubadilikia hutaamini.
Aise alikuwa mchalo Dr
Ilikuwa ni miaka ya 1980s mitaa ya urusi,,,,,na sasa hivi ni bilionea mkubwa sana[emoji3] [emoji3] [emoji23]
dda9a771c7b530da7ac684986675d6f5.jpg

6d41c6978c70ff1bde3d77b7aa53c2a6.jpg
Screen shot
Unachokiona porini huku majuu kimeanza long time.
Zilikuwepo ndugu... Mwenyewe nilikuwa nazo
Jamaa kabadilika sababu ya mateso makali


sio kweli huyo jamaa anaitwa philipo mrisho alimaliza jitegemee miaka ya 2010 akaenda chuo cha sanaa bagamoyo saivi atakuwa yupo nje kama sijakosea
unaweza kupitia account yake ya Facebook
hapo chini nimeshangaa wanajf kushindwa hata kufanya reasoning kidogo kuanzia mavazi hata quality ya picha na enzi za miaka ya 1980's
Philipo Mrisho| Facebook
49c70a3fae1722f3fe21fc5a243b754a.jpg
 
Back
Top Bottom