Picha kutoka maktaba,,,sasa hivi ni bilionea mkubwa huyu

Picha kutoka maktaba,,,sasa hivi ni bilionea mkubwa huyu

Mmmh kwenye hiyo 80's kulikua na Mitoko hiyo? Halafu wengine wameshikika masikio kweli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Iyo Raba si Air Force hiyo duu Nadhani hii picha si Miaka ya themanini
 
Hilo shati alilovaa na quality ya picha na raba haviendani na miaka ya 70's. ukitumia 0.00% ya akili utagundua kuwa huyo sio dr.
kumbuka ni urusi, home kuna picha za wajapani miaka hiyohiyo ni za rangi nzuri tu
 
Angalia picha za 80's zinavyofanania. Kama unafuatilia msmbo haya unaweza kuelewa.
IMG_0288.PNG

Hiyo ulaya mkuu siyo bongo... ulaya hayo mambo kitambo sana... ni yy100% kama unajua kufananisha picha no doubt kuhusu hilo
Bosi ninapoongelea quality ya picha siongelei picha ya rangi, ninaongelea high definition quality(HD). Ni sawasawa image ya 4k quality useme ilipigwa 1990?
 
Back
Top Bottom