Skywalker3
Senior Member
- Nov 22, 2016
- 172
- 221
Mmmh kwenye hiyo 80's kulikua na Mitoko hiyo? Halafu wengine wameshikika masikio kweli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwezo wako wa kujiongeza ni mdogo mnoWapi mtoa mada kaandika kuwa huyo ni Dr. Shika? Punguzeni mapepe kusoma juu juu mnakuwa hamuelewi bora muwe mnasoma twice
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Jamaa alikuwa HB sema vodka za kwa Putin zimemchakaza kweli!
Unaulizia Russia au TanzaniaHiyo miaka kulikuwa na camera za rangi
Hawa hawafahamu kama urusi walianza sio tu picha zenye quality na kushoot movie nzuri tuUnaulizia Russia au Tanzania
kumbuka ni urusi, home kuna picha za wajapani miaka hiyohiyo ni za rangi nzuri tuHilo shati alilovaa na quality ya picha na raba haviendani na miaka ya 70's. ukitumia 0.00% ya akili utagundua kuwa huyo sio dr.
Bosi ninapoongelea quality ya picha siongelei picha ya rangi, ninaongelea high definition quality(HD). Ni sawasawa image ya 4k quality useme ilipigwa 1990?Hiyo ulaya mkuu siyo bongo... ulaya hayo mambo kitambo sana... ni yy100% kama unajua kufananisha picha no doubt kuhusu hilo
Unaona noma kuumbuka?Tatikumquatst: 24499265 said:Uwezo wako wa kujiongeza ni mdogo mno
Inawezekana kichapo walichomgea ilikuwa anawagongea Masela waka mind,alafu yeye anasema ni ishu ya pesa.amekula sana ma manzi wa kidhungu
Russia ni Europe Asia.miaka unayotaja wew ni kwa africa kumbuka hapo ni asia walioanza kupata maendeleo kabla yenu
DohNi yeye