Picha kutoka maktaba,,,sasa hivi ni bilionea mkubwa huyu

Picha kutoka maktaba,,,sasa hivi ni bilionea mkubwa huyu

sio kweli huyo jamaa anaitwa philipo mrisho alimaliza jitegemee miaka ya 2010 akaenda chuo cha sanaa bagamoyo saivi atakuwa yupo nje kama sijakosea
unaweza kupitia account yake ya Facebook
hapo chini nimeshangaa wanajf kushindwa hata kufanya reasoning kidogo kuanzia mavazi hata quality ya picha na enzi za miaka ya 1980's
Philipo Mrisho| Facebook
49c70a3fae1722f3fe21fc5a243b754a.jpg
Hatari sana mkuu
 
  • Thanks
Reactions: Lee
sio kweli huyo jamaa anaitwa philipo mrisho alimaliza jitegemee miaka ya 2010 akaenda chuo cha sanaa bagamoyo saivi atakuwa yupo nje kama sijakosea
unaweza kupitia account yake ya Facebook
hapo chini nimeshangaa wanajf kushindwa hata kufanya reasoning kidogo kuanzia mavazi hata quality ya picha na enzi za miaka ya 1980's
Philipo Mrisho| Facebook
49c70a3fae1722f3fe21fc5a243b754a.jpg
Asante kwa evidence make tushafungwa kamba hapa
 
Ilikuwa ni miaka ya 1980s mitaa ya urusi,,,,,na sasa hivi ni bilionea mkubwa sana[emoji3] [emoji3] [emoji23]
dda9a771c7b530da7ac684986675d6f5.jpg

6d41c6978c70ff1bde3d77b7aa53c2a6.jpg
Jamaaa umeumbuka usione jf ni kauchochoro kuna watu wana details za watu....
sio kweli huyo jamaa anaitwa philipo mrisho alimaliza jitegemee miaka ya 2010 akaenda chuo cha sanaa bagamoyo saivi atakuwa yupo nje kama sijakosea
unaweza kupitia account yake ya Facebook
hapo chini nimeshangaa wanajf kushindwa hata kufanya reasoning kidogo kuanzia mavazi hata quality ya picha na enzi za miaka ya 1980's
Philipo Mrisho| Facebook
49c70a3fae1722f3fe21fc5a243b754a.jpg
Mods ningeomba jamaa apewe BAN kwa kuleta thread YA uwongo..... Mkiacha tabia kama ihii iendeleee jukwaa linakosa amasa kwa sababu watu wataona jf ni sahemu YA utani utani
 
Come on! Hizo nguo tumezivaa sana miaka hiyo ya 70. Nguo hizo huwa zinakuja na kuondoka, zinakuja na kuondoka, zinakuja na kuondoka miaka na miaka. Hiyo ni picha ya Dr Shika mwenyewe kabisa katika miaka hiyo.
Watu mnajua kusisitiza uwongo! Za kuambiwa changanya na za kwako.
 
Back
Top Bottom