Picha kutoka maktaba,,,sasa hivi ni bilionea mkubwa huyu

Hatari sana mkuu
 
Reactions: Lee
Asante kwa evidence make tushafungwa kamba hapa
 
Umeambiwa miaka ya 80 halafu unasema 70 ili ulete ligi
Ila nakumbuka pamoja na kutuongopea mwanzoni aliandika 1970.....atakuwa kaedit matango pori yake
 
Ilikuwa ni miaka ya 1980s mitaa ya urusi,,,,,na sasa hivi ni bilionea mkubwa sana[emoji3] [emoji3] [emoji23]
Jamaaa umeumbuka usione jf ni kauchochoro kuna watu wana details za watu....
Mods ningeomba jamaa apewe BAN kwa kuleta thread YA uwongo..... Mkiacha tabia kama ihii iendeleee jukwaa linakosa amasa kwa sababu watu wataona jf ni sahemu YA utani utani
 
Come on! Hizo nguo tumezivaa sana miaka hiyo ya 70. Nguo hizo huwa zinakuja na kuondoka, zinakuja na kuondoka, zinakuja na kuondoka miaka na miaka. Hiyo ni picha ya Dr Shika mwenyewe kabisa katika miaka hiyo.
Watu mnajua kusisitiza uwongo! Za kuambiwa changanya na za kwako.
 
Jamaa kabadilika sababu ya mateso makali
 
Sasa ndio wanaongoza tena wao wapo kifamilia zaidi hawataki utani ukikamatwa vizuri lazima uowe
Kwahiyo game limegeuka siku hizi toka Tanga kwenda Klm?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…