Nzige Mdudu
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 1,048
- 830
Huwa anawaza sana nje ya box (unique creativity) katika kila analofanya, mfano katika music production, fashion na biashara.Sanaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa anawaza sana nje ya box (unique creativity) katika kila analofanya, mfano katika music production, fashion na biashara.Sanaaa
Uvaaji wetu mimi, Musk, na kanye west ni wakawaida sana kiasi kwamba ukitukuta mtaani kama hutujui unaweza ukatuchukulia poa tu
Kafanya nn, unafikiri US ni TzHuyo Kanye awe makini wasije wakampitisha njia ya R. Kelly. Usikute mashtaka yako tayari.
Huna akili, tafuta pesa ujue Kati ya Star na Tajiri Nani ni luluWe kenge hujui kwamba katika hao wawili Kanye west ndio staa....Elon ndo atakua aliomba picha
Yeah sure wote wapo kwenye mood yaniHuyo ellon ni mtu anapenda kufurah,anapenda utani ndiyo maana kakubali kuva hilo raba
Hapo vichw vimekutana mbn
Sent from my SM-G930F using JamiiForums mobile app
Hana pesa ndio mana anafutuka ovyo ukiwa na pesa vyakula vyako haviwez leta kitambi
PouwerAhhh.. usichukulie serious mkuu
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Sema Rick angekuwa ktkt hapo ingenoga sanapicha utaadhani wamepigwa na Rick Ross.!
Sijaelewa mbona unajiweka kwenye kundi moja na Kanye west unajitoa kwenye kariakoo outfitsUvaaji wetu mimi, Musk, na kanye west ni wakawaida sana kiasi kwamba ukitukuta mtaani kama hutujui unaweza ukatuchukulia poa tu
Tabu ipo kwa matozi na outfits zao za kariakoo baada ya mchongo wa sensa kutiki
Hizo ni tamaduni mzee kitambi ni kitu cha kujivunia kwa miongo mingi afrika na tanzania. Kiliheshimika na kinaheshimika kwa wengine ni umbo la kutapelia. Ni vijana wa mkongo ndo wanakiogopa.Na hawana vitambi, wenzangu na mimi chips na mishkaki ya sele bonge na vibia viwili vitatu unakua na tumbo kubwa kama puto
Hao wote wawili ni freemason ni wapumbavu tu na wapuuz.Mwenye Buti ni tajiri namba moja duniani Elon Musk na Mwenye Koti ni msanii maarufu nchini marekani Kanye West wakiwa kwenye picha ya pamoja. Wenzetu wanaishi maisha ya tofauti sana huwezi dhania status waliokuwa nayo namwonekano wao kwenye hii picha. Bigup to these bodies.
Japo najua Kanye West ndokamwomba Elon musk angalau apate picha ya ukumbusho [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
View attachment 2334564
Kaa nahuo ujinga wako kichwani maana ukikutoka utajinyonga kwa aibuHao wote wawili ni freemason ni wapumbavu tu na wapuuz.
Wafe tuu
Sawa tumekusikiaHyo picha ni edited..
Japo kwenye picha halisi, naona viatu vyao vya kawaida sana...karume 15,000 tu
Miaka mingi Sana imeepitaa 'uaaaa' sauti nyingi Sana zimesikika 'aiii'Kaa nahuo ujinga wako kichwani maana ukikutoka utajinyonga kwa aibu
Tafadhali usiniangushe budaaHuyu ni Musk au space sio Tesla
Fanga wewe🤣🤣🤣🤣Miaka mingi Sana imeepitaa 'uaaaa' sauti nyingi Sana zimesikika 'aiii'
Nimebanwa na mafiiiii
Mbrrrrr mbrrr mbrrr
Mkuu wiki ijayo narudi CopenhagenFanga wewe🤣🤣🤣🤣
Kwani uko wapi sasa mukuuMkuu wiki ijayo narudi Copenhagen
Niko kwa akina MaghayoKwani uko wapi sasa mukuu