Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We unahisi akitua Ronaldo na Dangote pale airport watu watamkimbilia nani?Huna akili, tafuta pesa ujue Kati ya Star na Tajiri Nani ni lulu
YapAu wewe ndio Maghayo mwenyewe?
Ndio mimiAu wewe ndio Maghayo mwenyewe?
Mkuu mimi naiamini id hii tu ukija kivingine sikupi ushirikiano🤣🤣🤣.Ndio mimi
HahahahaMkuu mimi naiamini id hii tu ukija kivingine sikupi ushirikiano🤣🤣🤣.
Denmark kuzuri mkuu nenda nenda baba...mimi hadi wakati mwingine kwasasa sina dili baba
Mbona unaluka, linganisha kati ya Ronaldo na dangote Nani ataomba picha ya ukumbushoWe unahisi akitua Ronaldo na Dangote pale airport watu watamkimbilia nani?
Sasa haya mafuvu Nani atanunuaUkiwa na hela una wigo mkubwa sana kufanya utakalo
View attachment 2335325View attachment 2335326View attachment 2335327
Iam so sorry I was mistakenTafadhali usiniangushe budaa
[emoji3][emoji3][emoji3] we fala mbona una wivu na wenye vitambi?Na hawana vitambi, wenzangu na mimi chips na mishkaki ya sele bonge na vibia viwili vitatu unakua na tumbo kubwa kama puto
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Wee jamaa utakuwa ni Muha. Hiyo uliyopost ww ni edit.
kama hujui kitu nyamaza,kubishia ukweli ni upunguaniHakuna Adobe hapo, ni picha mbili tofauti zote walipiga japo kwa mda tofauti
Acha utani mkuu Una uhakika gani kuwa hizo picha zimepigwa wakati tofauti? hivi unashindwa kuelewa kuwa hiyo ni edit Kwa kuangalia tu?Hakuna Adobe hapo, ni picha mbili tofauti zote walipiga japo kwa mda tofauti
Ile ya mleta Uzi ni edited
Hahaha kumbe Waha ndo wanapost edited pichazWee jamaa utakuwa ni Muha. Hiyo uliyopost ww ni edit.
We kweli google chrome