Picha la pamoja Elon Musk akiwa na Kanye West limenitafakarisha sana

Uvaaji wetu mimi, Musk, na kanye west ni wakawaida sana kiasi kwamba ukitukuta mtaani kama hutujui unaweza ukatuchukulia poa tu

Tabu ipo kwa matozi na outfits zao za kariakoo baada ya mchongo wa sensa kutiki
Sijaelewa mbona unajiweka kwenye kundi moja na Kanye west unajitoa kwenye kariakoo outfits
 
Na hawana vitambi, wenzangu na mimi chips na mishkaki ya sele bonge na vibia viwili vitatu unakua na tumbo kubwa kama puto
Hizo ni tamaduni mzee kitambi ni kitu cha kujivunia kwa miongo mingi afrika na tanzania. Kiliheshimika na kinaheshimika kwa wengine ni umbo la kutapelia. Ni vijana wa mkongo ndo wanakiogopa.
 
Hao wote wawili ni freemason ni wapumbavu tu na wapuuz.

Wafe tuu
 
Hyo picha ni edited..
Japo kwenye picha halisi, naona viatu vyao vya kawaida sana...karume 15,000 tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…