ASHA NGEDELE
JF-Expert Member
- Jul 5, 2011
- 784
- 327
Lissu akiwa Raisi wa hii nchi nafuta account yangu ya JamiiForumHata waibe kura vipi hawatazimaliza. Lissu tayari ni rais wa nchi hii. Na wasirogwe wajaribu kuiba, watakiona cha mtema kuni. Najua kusikia kwa kenge mpaka atoke damu masikioni, sasa acha wajaribu.
hiyo Cambridge chini ya kiwango kama ya namba moja vile....It is good that now u r singing keep doing that, at least itakutoa kutoka kwenye ndoto
In your dreams , keep on dreaming , boyNajua unayaandika haya ukiwa umekata tamaa na kwa maumivu makubwa ya kukosa buku 7 kuanzia November
Anatia huruma bora akalime matobolwa kule NguduNajua unayaandika haya ukiwa umekata tamaa na kwa maumivu makubwa ya kukosa buku 7 kuanzia November
Ulichoweza kuandika wewe ni hiyo Cambridge tu, so I can understand, what type of a deranged person u rhiyo Cambridge chini ya kiwango kama ya namba moja vile....
Creche....Ulichoweza kuandika wewe ni hiyo Cambridge tu, so I can understand, what type of a deranged person u r
Nimeangalia hii video aisee utadhani ni mwaka mpya!!mianga ya simu kama yoteMoshi mjini muda huu.View attachment 1585896
maji ya kisoda ndani ya Bahari....Lissu akiwa Raisi wa hii nchi nafuta account yangu ya JamiiForum
hataree...Nimeangalia hii video aisee utadhani ni mwaka mpya!!mianga ya simu kama yote
Hawa jamaa kila kikwazo wanachofikiri kitawasaidia kinageuka kuwa angamizo kwao.Wanajuta kumzuia kuruka na Helikopta aisee,bora wangemruhusu tu
[emoji3][emoji3]unaweza ukashangaa anaitwa anaambiwa kibali cha helkopta kimetokaHawa jamaa kila kikwazo wanachofikiri kitawasaidia kinageuka kuwa angamizo kwao.
Leo wanatamani wamuambie tumia Helicopter.
Kuna mgombea ameanza kupiga magoti. Madaraja, stiglers, barabara, hospitali na ununuzi wa wabunge havina msaada.Hata waibe kura vipi hawatazimaliza. Lissu tayari ni rais wa nchi hii. Na wasirogwe wajaribu kuiba, watakiona cha mtema kuni. Najua kusikia kwa kenge mpaka atoke damu masikioni, sasa acha wajaribu.
We ngedere kweliLissu akiwa Raisi wa hii nchi nafuta account yangu ya JamiiForum
Huu ni Mpango wa Mungu..Hawa jamaa kila kikwazo wanachofikiri kitawasaidia kinageuka kuwa angamizo kwao.
Leo wanatamani wamuambie tumia Helicopter.
Well noted Mkuu...Dar tutawashangaza, binafsi lazima nikamshuhudie hyu mwamba Mungu akijalia atakapokuja, kipenzi cha watu na mzalendo halisi sio yule anaetumia gharama kubwa kuonesha kuwa anapendwa.
Sugu yupo kwa ajili ya watu wa aina yako. Ni swala la kumuomba tu aje kukisuguaRaisi wa mtandaoni hongera zake na zako pia kwa ushindi wa mtandaoni