Uchaguzi 2020 Picha: Lissu aendelea na kampeni huko Marangu

Anajidai hamkuona Mbeya leo? Kujifanya vipofu hamuoni kampeni za JPM ili mjifariji kuwa Lissu atashinda. Lissu akifikisha 5% ya kura zote mwaka huu SGR itakuwa inajengwa Somalia si Dar-Moro -Makutopora.
 
Anajidai hamkuona Mbeya leo? Kujifanya vipofu hamuoni kampeni za JPM ili mjifariji kuwa Lissu atashinda. Lissu akifikisha 5% ya kura zote mwaka huu SGR itakuwa inajengwa Somalia si Dar-Moro -Makutopora.
Tunakula pesa ila Kura zote kwa LISSU
 
Mwambieni rais mtarajiwa H.E. Lawyer Tundu Antipas Mughwai Lissu aje kanda ya kati tunavunja rekodi na kura zetu zote zinamsubiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…