Nzie ya Mana
JF-Expert Member
- Aug 23, 2020
- 1,515
- 1,730
Usiempenda Lissu wewe ni mfuasi wa Ibilisi. Takataka wewe!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AmeeeeeeeeeeeenJina la Yesu lihimidiwe. Asante Mungu kwa baraka na Ukuu wako unaozidi kuuonesha kwa Tundu Antiphas Lissu
Ndio walipo kuharibu marindaMafiati Mbeya wanakusubiri...
Kabisa MKUU...Wanajuta kumzuia kuruka na Helikopta aisee,bora wangemruhusu tu
hahahahaHapo ni Mogadishu mwaka 1968[emoji3][emoji3]
Nasikia umeshapanda basi....Karibu MafiatiNdio walipo kuharibu marinda
Lissu akiwa Raisi wa hii nchi nafuta account yangu ya JamiiForum
Tunakula pesa ila Kura zote kwa LISSUAnajidai hamkuona Mbeya leo? Kujifanya vipofu hamuoni kampeni za JPM ili mjifariji kuwa Lissu atashinda. Lissu akifikisha 5% ya kura zote mwaka huu SGR itakuwa inajengwa Somalia si Dar-Moro -Makutopora.
UbarikiweAmeeeeeeeeeeeen
Nasikia ccm imefutika hukoMwambieni rais mtarajiwa H.E. Lawyer Tundu Antipas Mughwai Lissu aje kanda ya kati tunavunja rekodi na kura zetu zote zinamsubiri
Wewe endelea kulala usingizi wa pono. Ukiamka utamkuta Lissu Ikulu.
Huku CCM inazidi kupotea kabisa kila kukicha toka kampeni zianze. Kila watu unaokutana nao wanasema Lissu Lissu Lissu, kura zetu ni kwa Lissu kila mtu njiani anasemaNasikia ccm imefutika huko
ahahahaha nakumbuka ccm na propaganda yao ya ushoga wakati huku magu anamwomba sugu amsugue vizuri kunakoLeo kuna alieomba kura ya Sugu akamsugue.......
Vioja vya kuchanganyikiwa haviishi.
Kwa mgongo wa chupaMpakwa mafuta.
Na mimi nimeshangaa ivi Tume haijaliona hili?Mbona kampeni mnafanya usiku?