Soma gugo inachokisema kumhusu jamaaMkuu unapost na wewe uonekane umepost au vipi kaka[emoji15] ....Dr Dre akiwa aged 16 alishamtemesha mtu mate wewe unasema hana mtoto?u must be kidding dude!
dokta dre hana hata mtoto wa kusingiziwa ana matatizo gani?
Didy, jigga awana pesa za madafu ivyoSasa wajameni ile list ilikua ya mwezi wa MAY 2016 nimepata list ya SEPTEMBER 2016...na ni kama ifuatavyo....
20. Rick Ross -- 10$million
20. Ludacris --10$million
19. Swizz Beatz -- 10.5$million
18. Eminem -- 11$million
17. Snoop Dogg-- 12.5$million
14. Ryan Lewis-- 14$million
14. Lil Wayne -- 14$ million
14. J.Cole -- 14$million
13. Asap Rocky -- 14.5$million
12. Dj Khaled -- 15$million
11.Kanye West --17.5$ million
10. Birdman -- 18$million
9.KendricLamar-18.5$million
8.PharelWilliams-19.5$million
7. Pitbull -- 20$million
6. Nicki Minaj -- 20.5$million
5. Wiz Khalifa -- 24$million
4. Drake -- 38.5$million
3. Dr.Dre -- 41$million
2. Jay Z -- 53.5$million
1. P. Diddy -- 62 $million
Hiyo ni Tsh mkuu sio dollar au poundHata Bill Gates muweke Waren Buffet na Carlos Slim Helu kwa pamoja hawana hiyo 1.5 Trilioni kwa hela ya Kimarekani acha kutudanganya
Dola milioni 14 ambazo ni bilioni 30 na milioni 500 pesa za kitanzania ni pesa ndogo kumbe [emoji23][emoji23][emoji23]Loooooooooooh hii list ni ya uongo uongo uongo, ao wakina wayne, eminem awana pesa ndogo ivyo.
Hahaha hahah kweli za madafu sanaDidy, jigga awana pesa za madafu ivyo
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Sio ndogo kwangu bruh ila izo ni pesa ambazo mtu kama wayne ilikuwa ni utajiri kwake labda 2008Dola milioni 14 ambazo ni bilioni 30 na milioni 500 pesa za kitanzania ni pesa ndogo kumbe [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Hahaha hahah kweli za madafu sana
Niki wa pili wa weusi hapa bongo daslama ama?!Mjasiriamali wa brazilian hair Nikki wa pili mbona simuoni.Hiyo listi ni ya uongo.
Dogo unakula vumbi bongo unasema1.5 Trilion sio hela nyingi? Wabongo bana!Duuu hizo figure ni kuhusu Cash alizonazo au pamoja Mali zingine maana kama ni hivyo mbona sioni kama ni ela nyingi...
Huyo mdosi anapesa ya kula tuu mbele ya Pdidy. Labda birdman na drake ndo kawazidi mpunga.Duh inamaana puffy dady anamzidi had I rostam
Mimi wala siziaminigi hizo statistics za utajiri wao ni usanii juu ya usanii eti trillion 1.5Naona Diddy karudi nafasi yake tena. Na pia drake kamuondoa nadhan alikua 50 cent nafas yake hio ya 5.
5. Drake--Utajiri wa Bilioni 126 Tsh.
4. Birdman--Utajiri wa Bilion 231 Tsh.
3.Jay Z -- Utajiri wa Trilioni 1.2 Tsh.
2. Dr. DRE --Utajiri wa Trilioni 1.4 Tsh.
1.P.Diddy -- Utajiri wa Trilioni 1.5 Tsh.
Mpangilio wa PICHA kuanzia namba 5 hadi 1.
View attachment 412567
View attachment 412568
View attachment 412569
View attachment 412570
View attachment 412571
Trillion moja ni million 10,000 mara million 10,000 ata kama pesa yetu ni ya madafu huwezi kunidanganya hao wasanii wana huo utajiri labda kama pia wana viwanda.Mbona Hawa marapper masikini sana mweee.
Yaani tajiri kabisa ana trillion 1.5 tu?
Aibu kwao
Kama unaona amewapunja watumie kwenye mpesa pesa zao [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mkuu bora ungeweka tu kwenye USD! Maana naona hizo figure ulizoweka nikizirudisha kwenye dola kama umewapunja baadhi, mfano Diddy
Wakina Rockefeller na Rothschild wanazimiliki hizo sababu wao ndio wanaoprint hizo karatasi.Acha hizo.....
Unaijua $ 1.5trillion kweli?...hakuna mtu amewahi kuimiliki hapa duniani hata Billgate hajawahi kuwaza atakuja kama kumiliki kiasi hicho cha hela
Tanzania shillings mkuu...nime convert kwa rate ya sasa hivi
Billgate mwenyewe amefikisha $ bl. 75
Na wala taifataifate duniani lenye bajeti ya mwaka mzima inayofikia $ bl.1.5
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hiyo source ya utajiri wake kakupa bank kuu ya marekani nini?Huyo mdosi anapesa ya kula tuu mbele ya Pdidy. Labda birdman na drake ndo kawazidi mpunga.
[emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23]vp kuhusu huyu fid Q??