Picha: List mpya ya top 5 marapa matajiri 2016

Picha: List mpya ya top 5 marapa matajiri 2016

sikudhania etii!!
Alivyouza zile headphones zake za beats by dr dre kwa APPLE alipiga mkwanja sana na ilikua siku moja tu akapanda had nafas ya 1 akamshusha mzee mzima diddy...diddy naona hakukubali ndo kaparangana huko karud tena namba moja so dre akashuka to number 2
 
Billgate mwenyewe amefikisha $ bl. 75

Na wala taifataifate duniani lenye bajeti ya mwaka mzima inayofikia $ bl.1.5
Watz wengine sijui wana nini vichwani kuna mwingine kijiweni akaanza kuleta story za mbona diamond ana utajiri wa $billion 8..h
 
Hua wanaishia kulalamika tu...kuna shida gan kukonvert currency ya usd to tsh...ina mana ni kitu kizito na ambacho hakiwezekani katika dunia hii [emoji23][emoji23][emoji6][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana
Kuna watu walalamishi haoo!!.

halafu wavivu hatari!
 
Hahaha naona baadhi ya watu hawaamini vile .....

Nenda google mda huu angalia exchange rate ya usd to tsh...

Mfano kwa mkali diddy utajir wake kwa dola ni kias cha dola 750,000,000,000$

Dola 1 ya marekan ni shiling 2183.45 ( muda wa saa 11 jioni)

Hapa haiitaji sana degree wala IQ ya 100% ...ni mahesabu ya kawaida.tu hata mwenye uwezo wa kufikiri 1% anazidisha tu anapata jibu.

Dola milion 750 zidisha mara 2183.45 unapata [emoji116][emoji116]
1,637,587,500,000/= TANZANIA SHILLINGS yaani ni hivi, Trilioni moja, bilioni mia sita thelathini na saba, milioni mia tano themanini na saba na laki tano na senti hakuna.

Mara ya kwanza nilisema trilion 1.5 sababu ni exchange rates hua zinabadilika badilika.

Hapo red unapasomaje? Hiyo ni milioni 750 au kitu gani? Bora ungeandika kwa maandishi kuliko number.
 
USA baby
upload_2016-10-5_11-20-39.png
upload_2016-10-5_11-20-41.png
upload_2016-10-5_11-20-43.png
.
 
sikudhania etii!!

hata mimi mkuu ukizingatia kaacha game tokea kitambo sana,nafikiri recording label yake ndiyo itakuwa inampa maisha,na hata hivyo atakuwa na displin nzuri sana kwenye matumizi ya mkwanja wake
 
Naona Diddy karudi nafasi yake tena. Na pia drake kamuondoa nadhan alikua 50 cent nafas yake hio ya 5.

5. Drake--Utajiri wa Bilioni 126 Tsh.

4. Birdman--Utajiri wa Bilion 231 Tsh.

3.Jay Z -- Utajiri wa Trilioni 1.2 Tsh.

2. Dr. DRE --Utajiri wa Trilioni 1.4 Tsh.

1.P.Diddy -- Utajiri wa Trilioni 1.5 Tsh.

Mpangilio wa PICHA kuanzia namba 5 hadi 1.

View attachment 412567
View attachment 412568
View attachment 412569
View attachment 412570
View attachment 412571
Sio $ Million....au $ Trillion....?
 
hata mimi mkuu ukizingatia kaacha game tokea kitambo sana,nafikiri recording label yake ndiyo itakuwa inampa maisha,na hata hivyo atakuwa na displin nzuri sana kwenye matumizi ya mkwanja wake
Mkuu, dr dre ni mfanya biashara mzuri ...alikua na headphones zake alikua akiziita Beata by Dr Dre lakin baadae akauza kwa kampuni ya Apple hapa ndo alipiga pesa ndefu sana.
 
Back
Top Bottom