IROKOS
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 10,182
- 7,839
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] a f**in pencil.... That is a cyborg in real world[emoji3517]
Sawa nitakupigia.Usijali muda wote ukitaka just hit my number
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Hahah tujitahidi azaliwe mwaka huu huu
Muda ndiyo huu laziziHahah tujitahidi azaliwe mwaka huu huu
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Polar ndio naipakua muda huuHapo kwenye kiuno panampa pancha sana john wick!.. Halafu kuna movie inaitwa POLAR zimefanana na wick chapter 1 kiaina!..
Huwa unapenda movies za aina ganiYan kuna kipindi nilikua naona 2019 haifiki sababu ya movies. Sasa imefika and i can't wait [emoji39][emoji39][emoji39]
Genre karibu zote except horror
kings Man 3 hiyo naingoja sana
Chukua cracked IDM zimejaa kibao kwenye torrents.Nina shida ya IDM nyingi zinadai activation key msaada tafadhali.
Hatari sana mkuu... Mad Dog yupo the raid 1...jamaa flan hivi yupo rough sanaSimjui huyu aseee... ila huyu wa vajra ukicheki mkono aliotoa pale wanataka kumchoma moto yule mama kwenye kung fu hustle nampa salute.. walitembeza kifinyo ataree akiwa ns wale wazee wawili
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Hatari tupu mule... Itafute The night come for us... Kuna mkono na assassinations za kufa mtu mule[emoji1487][emoji1487]Iko kipande nakielewa sana kuna mkono palee hatariii
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Hahahhaha kweliii... Kuna mwana kasema kiuno chake kina panchaYaap anaogofyaa aseee.... hayupo kimapenzi kabisa.
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Nampata mkuu nayeye yuko mnoma nimeonaHatari sana mkuu... Mad Dog yupo the raid 1...jamaa flan hivi yupo rough sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Daaaah ile ya Ding Hu?Ni kweli mkuu. .
Ila hao vijana sasa hivi hawana mpinzani asee wako moto mbaya!!
Umeangalia The bodyguard? (Sio ya Jet Li) yule jamaa nae yuko vizuri
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Ukiangalia na roho ndogo unaogopa tembea usiku mkuu[emoji85]the night come for us ni movie kali wanachinjana htr xnaaaa hii kitu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini za kutisha? Una uwoga kiasi hicho au huwa unaota baada ya kuangalia?Genre karibu zote except horror
Niliangalia sana mpaka zimenikinai sizipendi tenaKwanini za kutisha? Una uwoga kiasi hicho au huwa unaota baada ya kuangalia?
Sent using Jamii Forums mobile app