Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Musiba na Membe au?Picha ya Mhe. Luhaga Mpina akiondoka Bungeni akitazama na Mhe. Bashe kwa Woga.. Je mpina kamuachia Mungu?
View attachment 3025822
Refer issue ya Musiba
Hako ka-muhindi bandia kamekuwaje siku hizi?Picha ya Mhe. Luhaga Mpina akiondoka Bungeni akitazama na Mhe. Bashe kwa Woga.. Je mpina kamuachia Mungu?
View attachment 3025822
Refer issue ya Musiba
Unakumbuka ya Zitto, aliondoka na mkono wa mtu. Tusubiri yajayo yanafurahisha...😂 😂 😂
MAMA yake Luhaga ni Mganga wa Kienyeji
Masikini Bashe anaogopa na kutetemeka 😔😔😔Picha ya Mhe. Luhaga Mpina akiondoka Bungeni akitazama na Mhe. Bashe kwa Woga.. Je mpina kamuachia Mungu?
View attachment 3025822
Refer issue ya Musiba
😂😂😂Unakumbuka ya Zitto, aliondoka na mkono wa mtu. Tusubiri yajayo yanafurahisha...
Huyu sasa, katazama macho. Yataondoka na maji na yalivyomuingia ndani 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ule mkono uliomunyoshea Zitto kumwambia Wewe ni muongo ulikufa kabisa 😁😁😁
Msomali yupo sehemu salama anatoa gawio vizuri kwa haya majangili yanayojiita bungePicha ya Mhe. Luhaga Mpina akiondoka Bungeni akitazama na Mhe. Bashe kwa Woga.. Je mpina kamuachia Mungu?
View attachment 3025822
Refer issue ya Musiba
Mpina kashindaHuyu sasa, katazama macho. Yataondoka na maji na yalivyomuingia ndani 😂😂😂😂😂😂
NI mashirikina balaaWanaccm hawaachiani Majibya kunywa mezani
Mpina amejifunza kitu, mtanzania sio mtu wa kumtetea, amewnda front kageuka nyuma kajikuta mwenyewe, wamemgeukaPicha ya Mhe. Luhaga Mpina akiondoka Bungeni akitazama na Mhe. Bashe kwa Woga.. Je mpina kamuachia Mungu?
View attachment 3025822
Refer issue ya Musiba
Ni mtanzania Tanzania ina makabila mengi wakiwemo wahindi,waaarabu na wasomali na ni watanzania asilimia 100 ndio maana hadi bungeni wapoMsomali yupo sehemu salama anatoa gawio vizuri kwa haya majangili yanayojiita bunge
By that time watakimbilia nje, but yes kuna threshhold in everything, when red line crossed there is no going backHii picha inatuma ujumbe..
Hawa ni waandamanaji wa Kenya waliofanikiwa kuvuka vizuizi vya polisi hadi kuchoma section kadhaa za ukumbini na hata kujipakulia chakula na kuharibu vitu.
Watawala wa Tanzania mnajifunza??
Mnajua kuna "threshold " ikifika hata bungeni hata hapatokalika.
Tafakarini sio mnakula kodi za raia.
View attachment 3025871
Picha ya Mhe. Luhaga Mpina akiondoka Bungeni akitazama na Mhe. Bashe kwa Woga.. Je mpina kamuachia Mungu?
View attachment 3025822
Refer issue ya Musiba
UWT mkipata rushwa kidogo mioyo yenu hutulia, ni kabila gani wanaitwa Bashe? acha ujingaNi mtanzania Tanzania ina makabila mengi wakiwemo wahindi,waaarabu na wasomali na ni watanzania asilimia 100 ndio maana hadi bungeni wapo
Acha ujinga