Picha: Luhaga Mpina akiondoka Bungeni akitazamwa na Bashe. Je, kamuachia Mungu?

Picha: Luhaga Mpina akiondoka Bungeni akitazamwa na Bashe. Je, kamuachia Mungu?

KIpindi kuna uhaba wa sukari na bei kupanda wananchi wanateseka alikuwa kanyamaza kimya, Waziri kapambana hadi kutoa vibali kuleta unafuu anakuja kutuambia vibali walipewa wauza nguo, ndio wauza nguo ila kama wameweza kutuletea sukari tukapata ahueni kwa ruhusa ya muda yeye shida yake nini, au kwa vile wanaomtuma walitaka waendelee kutuchezea wapige faida kwenye shida ya sukari. Atuondelee ujinga

Yeye alivyochoma nyavu za wavuvi badala ya kuandaa mpango kuwaelimisha na kuwawezesha uvuvi sahihi hakuona wale wanyonge?
 
Picha ya Mhe. Luhaga Mpina akiondoka Bungeni akitazama na Mhe. Bashe kwa Woga.. Je mpina kamuachia Mungu?
View attachment 3025822
Refer issue ya Musiba
Picha: Mhindi na msomali wanachekelea moyoni msukuma katolewa bungeni kwa kufichua hila zao kuwanyonya wananchi wazawa. Walaaniwe chawa wote. Huyo mbunge mzawa bila shaka anatafakari akiwa na hofu juu ya hatima ya tanzania chini ya uongozi wa wahuni.
 
Bunge kibogoyo wamefurahi sasa.lakini ukweli hili bunge halina mvuto kabisa na ni Bora lifutwe kabisa tubakize mhimili wa urais na mahakama tu.bunge ni chawa wa chura.limetukosea sana watanzania.lifutwe kabisa
 
KIpindi kuna uhaba wa sukari na bei kupanda wananchi wanateseka alikuwa kanyamaza kimya, Waziri kapambana hadi kutoa vibali kuleta unafuu anakuja kutuambia vibali walipewa wauza nguo, ndio wauza nguo ila kama wameweza kutuletea sukaro tukapata ahueni kwa ruhusa ya muda yeye shida yake nini, au kwa vile wanaomtuma walitaka waendelee kutuchezea wapige faida kwenye shida ya sukari. Atuondelee ujinga

Yeye alivyohoma nyavu za wavuvi badala ya kuandaa mpango kuwaelimisha na kuwawezesha uvuvi sahihi hakuona wale wanyonge?
Tena nyavu zingetumika hata kufugia kuku au kuwaelimisha wazitumie kwenye ufugaji samaki, wasizigtumie kwenye ziwa au bahari wazi.

Ni mjinga mmoja huyo jamaa, hata kuongea kwake kunaashiria anaendeshwa na chuki za kijinga.
 
Mpina ni shujaa, kusemwa na kufanyiwa figisu ni hali za kawaida kwa mashujaa wa kweli, naamini hatokata tamaa na ataendelea na mapambano.
"figisu" ipi aliyofanyiwa?

Kila kitu kimewekwa wazi kabisa. Huyo kayuakanyaga kwa chuki zake kwa kuendeshwa na chuki zake binafsi.
 
Back
Top Bottom