Picha: Luhaga Mpina akiondoka Bungeni akitazamwa na Bashe. Je, kamuachia Mungu?

Picha: Luhaga Mpina akiondoka Bungeni akitazamwa na Bashe. Je, kamuachia Mungu?

Hapo Bashe kamrushia Mpina bonge la tusi la nguoni, na akamwambia umeona mshamba wewe??
 
Hii picha inatuma ujumbe..

Hawa ni waandamanaji wa Kenya waliofanikiwa kuvuka vizuizi vya polisi hadi kuchoma section kadhaa za ukumbini na hata kujipakulia chakula na kuharibu vitu.

Watawala wa Tanzania mnajifunza??

Mnajua kuna "threshold " ikifika hata bungeni hata hapatokalika.

Tafakarini sio mnakula kodi za raia.
View attachment 3025871
Dah
 
Bashe Ametengeneza Upungufu wa Sukari Makusudi Ili Alete yake baada ya Bei Kupanda.
 
Inasemekana Mpina amelia sana nje ya ukumbi wa bunge jana, watu wakawa wanambembeleza, amelia kwa kwikwi na jasho likimtoka
Kilichomliza nini na yeye alijimwambafai?

Au itakuwa analiwaza kasheshe la nec linalomsubiri?
 
Bashe Ametengeneza Upungufu wa Sukari Makusudi Ili Alete yake baada ya Bei Kupanda.
Basi ni hatari, ameweza kuleta hata mvua za elnino?

Sasa nimeamini Bashe ni moto wa kuotea mbali.
 
Mpina kawaambia ukweli - tatizo Serikari ya CCM huwa haitaki kukosolewa within. Yaleyale yaliyomkuta Mzee wa Nazaleti.
 
Mpina kawaambia ukweli - tatizo Serikari ya CCM huwa haitaki kukosolewa within. Yaleyale yaliyomkuta Mzee wa Nazaleti.
Mbona haujauona huo ukweli? Au upo aliokiupa wewe zaidi ya ule alioiufikisha bungeni?


Nilimshangaa alipojitetea kwenye kamati kuwa ule alioongea na waandishi wa habari siyo ushahidi bali aliouleta bungeni ndiyo ushahidi.

Unapata picha ipi hapo?
 
Na Mie nashangaa Lukuvi kufurahi vile kwanini? Au na Luhaga naye aliwahi kufurahi wakati Lukuvi ananyang'anywa uwaziri wa Ardhi?
Hajafurahi, anajichekesha tu, ni "guilty conscious" ile, anafahamu kuwa watu washamfahamu kuwa yeye ndie mchochezi mkuu.

Unafikiri katika aliyoyasema Msukuma ni kina nani? Ndugai na yeye yupo, tena mstari wa mbele. Mchezo kupigwa chini uspika? Sasa kawa "backbencher".

Kwa sasa ndugai hana tofauti na koboko aliyejeruhiwa.
 
Hiyo picha ndio inaonyesha power ya media ikiamua kutengeneza narrative (perspective) wanavyotaka wao na kupotosha.

Uhalisia ni kwamba ukiangalia video Mpina wakati anatoka Bashe alikuwa na huruma kabla ajafika kwakuwa yeye alikuwa amekaa mbele mlango akawa amegeuka kabla Mpina ajafika amwanbie kitu (more likely kumpa pole).

Mpina akutegemea kumkuta Bashe mlangoni akastuka kidogo akutaka kumuangalia usoni (bila ya kuelewa dhamira ya Bashe) na kupitiliza hadi mlango.

si kwamba fisadi Bashe aligeuka maliciously, mwisho nadhani yeye mwenyewe akupenda mipasho aliopewa Mpina (ukiangalia body language ya Bashe wakati Mpina anatoka) kuna maneno alisema ya kumfariji.

Mafisadi yalijua yanachofanya wakamuweka Bashe mlangoni, ni kama vile kumwambia Mpina utatoka wewe bungeni sio Bashe.

The whole thing was tasteless
 
Nitajieni hapo CCM nani ni msafi, Sukuma Gang wameficha Mabilioni ya fedha walizowapora Wafanyabiashara wa Tanganyika huyu Mpina alikuwa kimya.

Mzee Warioba wewe ni MSAFI.
 
Tuhesabu maumivu ya huyu kilaza anayeitwa tulia
1. DP world aliruhusu na kuchukulia rushwa yake 2.3trilioni kule arabuni
2. Kala pesa ya uuzaji mbuga zetu
3. Kala pesa ya uuzaji misitu yetu kwa blue carbon
3. Kashfa zote za CAG kachikichia kala na mazeri
4. Hata huyu mzalendo mmoja wa chama chake alipotutetea amemkata kichwa bila kujali uzito wa kashfa ya sukari
5. Tunazo taarifa za utoaji wa hongo kwa wanachama wa IPM ili aupata urais wa IPM. Tutaanza kutupia ushahidi maanake kaguza mboni ya jicho sasa!

Wazalendo ongezeni hapa na mtoe mapendekezo tumfanyeje TULIA ACKSON ??
 
Mbona haujauona huo ukweli? Au upo aliokiupa wewe zaidi ya ule alioiufikisha bungeni?


Nilimshangaa alipojitetea kwenye kamati kuwa ule alioongea na waandishi wa habari siyo ushahidi bali aliouleta bungeni ndiyo ushahidi.

Unapata picha ipi hapo?
Vipi Hoja Kuhusu Uhalali wa Stationery kupewa kibali cha Sukari kinyume na Sheria?
 
Back
Top Bottom