Picha: Luhaga Mpina akiondoka Bungeni akitazamwa na Bashe. Je, kamuachia Mungu?

Picha: Luhaga Mpina akiondoka Bungeni akitazamwa na Bashe. Je, kamuachia Mungu?

Miaka kadhaa nyuma kunae bwana mmoja alileta hoja na kusababisha Zitto kufungiwa kama hivi kwa Mpina ila baadae ya siku kadhaa yule bwana alipoteza mkono wake wa kulia kwenye ajali. Luaga Mpina Mungu atakulipia my brother usirudi nyuma.
 
Wakubwa huyu mbunge wa wapi.
Screenshot_20240625-230024_1.jpg
 
Hapo ndipo mwisho wako wa kufikiri ulipofikia, kwenye uchawi na kurogwa?

Unazidi kuniaminisha kuwa ulienda shule kusomea ujinga.
Heshima niliyokuwa nakupa wewe, bora nikampe hata KENGE.

Wewe uliyesoma umeshindwa kupata maana(ujumbe) uliobebwa na hayo maneno!!! , kusema kurogwa unadhani namaanisha kuna mtu kaenda kwa mganga kuroga watanzania..!!!

Punguza ujuaji wa kijuha we ajuza, wengine huwa tunakwepa lugha zisizo na staha sababu tunajua JF ni jalala, unaweza toa lugha ngumu kwa mzee wako, dada yako na hata ikiwa na mdogo wako haina haja ya kutoa lugha mbovu.

Ignore list.
 
Heshima niliyokuwa nakupa wewe, bora nikampe hata KENGE.

Wewe uliyesoma umeshindwa kupata maana(ujumbe) uliobebwa na hayo maneno!!! , kusema kurogwa unadhani namaanisha kuna mtu kaenda kwa mganga kuroga watanzania..!!!

Punguza ujuaji wa kijuha we ajuza, wengine huwa tunakwepa lugha zisizo na staha sababu tunajua JF ni jalala, unaweza toa lugha ngumu kwa mzee wako, dada yako na hata ikiwa na mdogo wako haina haja ya kutoa lugha mbovu.

Ignore list.
Yamekuingia ndiyo maana umekuja na povu.
 
ccm ndo mchawi wa waTanzania.
ujakosea, hata Pele aliitwa mchawi wa soka Brazil, akja kurithi jina mchawi {gaucho).

Jinsi CCM wanavyoicheza utamu siasa ya Tanzania kuwaita wachawi ni haki yao.
 
Kumzuia mbunge kuhudhuria vikao halali vya Bunge kama adhabu ni kuvunja Katiba ya Jamhuri.

Mbunge ni muwakilishi wa wananchi, haipaswi kutokuwakilisha ikawa adhabu kwake.

Hili sijui ni kwanini halisemwi.
 
Baada ya mwezi hilo jingajinga tunalisahau
Tutawaletea habari nyingine muidandie na muendelee kubishana kwa miezi kadhaa, ikiisha hiyo
Tunajipanga tena na sakata jipya
Huyu mpina mbuzi akafie huko vichochoroni, kwanza hata 2025 harudi tena kwenye mzinga wa asali
 
M

Pina ni mwenyekiti wa GAMBUSHI
Stori za hapa jimbo la Kisesa, ambalo ndio jimbo la Mpina, ni keamba Mpina baada ya kushinda uchaguzi, alimdhulumu mganga wake hela. Sasa mganga wake kampiga salala(nuksi kali). Pia mganga kahamia kwa mpinzani wa Mpina ndani ya chama.
 
Stori za hapa jimbo la Kisesa, ambalo ndio jimbo la Mpina, ni keamba Mpina baada ya kushinda uchaguzi, alimdhulumu mganga wake hela. Sasa mganga wake kampiga salala(nuksi kali). Pia mganga kahamia kwa mpinzani wa Mpina ndani ya chama.
Basi mganga yupo vizuri maana kampa Mpina uelewa na Uzalendo mkubwa sana dhidi ya genge la wahuni. Hoja za Mpina hazijajibiwa.
 
hawakumtendea Haki Mheshimiwa Mbunge Mpina na Wamemuonea kwa sababu amesema ukweli. Bunge la chama kimoja ndio hukumu yake ama kweli nchi yetu Haina Demokrasia ya ukweli. Ukimkosoa Waziri Muhusika unaondolewa katika vikao vya bunge Mungu atamlipia Mheshimiwa mpina Kwa yale bunge waliyomtendea amin. Mheshimiwa Mpina ni msema ukweli na ukiwa msema mkweli unapigwa vita na maaduwi wengi sana. kwenye Serikali ya CCM Ukimuondoa Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na Jaji Mkuu hakuna hata mmoja aliyekuwa ni msafi.
 
Stori za hapa jimbo la Kisesa, ambalo ndio jimbo la Mpina, ni keamba Mpina baada ya kushinda uchaguzi, alimdhulumu mganga wake hela. Sasa mganga wake kampiga salala(nuksi kali). Pia mganga kahamia kwa mpinzani wa Mpina ndani ya chama.
😳😳😳😳😳😳😳
 
Acha uchawa wewe kubwa jinga, nyavu zilizochomwa zilikuwa hazikidhi vigezo.
Wakati kuna shida ya sukari ulilalamika, tatizo limetatuliwa unalalamika kwa nini muuza nguo kapewa kibali cha kuagiza sukari. Hivi wewe mwenyewe unaelewa unachoongea? Yani shida ya sukari imetatulia ila unalalamika aliyeingiza sukari huwa biashara yake ni kuuza nguo. huu ni ujinga wa kiwango cha lami
 
Back
Top Bottom