Picha: Luhaga Mpina akiondoka Bungeni akitazamwa na Bashe. Je, kamuachia Mungu?

Picha ya Mhe. Luhaga Mpina akiondoka Bungeni akitazama na Mhe. Bashe kwa Woga.. Je mpina kamuachia Mungu?
View attachment 3025822
Refer issue ya Musiba
Musiba na Membe au?

By the way, kufungiwa vikao 15 ndo kutolewa uhai au nini? Bloody f kabisa. Pole Mhe.Mpina kwa kujaribu kuliamsha Shithole Legislature na kuishia kuadhibiwa.
 
Hii picha inatuma ujumbe..

Hawa ni waandamanaji wa Kenya waliofanikiwa kuvuka vizuizi vya polisi hadi kuchoma section kadhaa za ukumbini na hata kujipakulia chakula na kuharibu vitu.

Watawala wa Tanzania mnajifunza??

Mnajua kuna "threshold " ikifika hata bungeni hata hapatokalika.

Tafakarini sio mnakula kodi za raia.
 
By that time watakimbilia nje, but yes kuna threshhold in everything, when red line crossed there is no going back
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…