Shida ya sukar imetengenezwa na hao wanaojidai watetez wetu, amka brother.Wakati kuna shida ya sukari ulilalamika, tatizo limetatuliwa unalalamika kwa nini muuza nguo kapewa kibali cha kuagiza sukari. Hivi wewe mwenyewe unaelewa unachoongea? Yani shida ya sukari imetatulia ila unalalamika aliyeingiza sukari huwa biashara yake ni kuuza nguo. huu ni ujinga wa kiwango cha lami
Ndie yule mudhiri mudhiri, una kumbukumbu nzuri mkuu!Unakumbuka ya Zitto, aliondoka na mkono wa mtu. Tusubiri yajayo yanafurahisha...
Halafu pamoja na kibunda chote mbona Siha yake haivutii?Masikini Bashe anaogopa na kutetemeka πππ
IPO siku, tutamkumbuka Mpina, Bashe ni charismatic, ila, ni, muongo Sana, ishu ya, sukari tumepigwa, bunge halitaki madudu ya, sukari yaongelewe, ndio maaana, wamemfukuza Mpina,Picha ya Mhe. Luhaga Mpina akiondoka Bungeni akitazamwa na Bashe kwa woga. Je, Mpina kamuachia Mungu?
Refer issue ya Musiba.
View attachment 3025822
View attachment 3025933
Watanzania wakimtetea msomali kwenye sakata la utamu, sorry, sukari.Kuna nini jamani ndio naingia online
Ukifumaniwa hata uwe na pesa au dushe kubwa kuliko mwenye Mali, lazima uwe mpole. Hata ukisamehewa bila kitabu kufunguliwa lazima uwe na nidhamu.Halafu pamoja na kibunda chote mbona Siha yake haivutii?
Hii aliyoifanya Bashe kwa Mpina itamtafuna hadi anaingia kaburini...kumuondoa kabisa bungeni mzalendo kisa tu anatoka familia masikiniPicha ya Mhe. Luhaga Mpina akiondoka Bungeni akitazamwa na Bashe kwa woga. Je, Mpina kamuachia Mungu?
Refer issue ya Musiba.
View attachment 3025822
View attachment 3025933