Binafsi amenifanya nifurahi nae.... kweli machozi ya furaha. Ila hayatoki kirahisi atiiNi ngumu kucontrol emotions, mie tu nimejikuta nalia naye. Ni kitu ambacho amekitamani kwa siku nyingi na ni kikubwa kwake, sishangai mtu akilia. Richie tu mtu mzima lakini kama alidata fulani. Machozi ya furaha...
Hahaha machozi ya furaha yanakuja tu naturally, hutojua ni muda gani umeanza kulia, mwingine halii ila anajikuta tu speechless yani. Hongera kwake na RichieBinafsi amenifanya nifurahi nae.... kweli machozi ya furaha. Ila hayatoki kirahisi atii
Daaaa ipo siku nitakutana nayoHahaha machozi ya furaha yanakuja tu naturally, hutojua ni muda gani umeanza kulia, mwingine halii ila anajikuta tu speechless yani. Hongera kwake na Richie
Sawa mkuu binamu notedsio msanii bora bhana, movie bora east Africa
OvaHuu uvaaji wa kuacha matiti nje kwenye hafla kubwa naona kama kuchanganya mambo. Nguo za kwenye Taarab hizi.
Ova
Umeshasema wenzie, tatizo ninini hapo? Mwache alie kwa raha zake.huyo nae mnafiki tu mbona wenzie hawalii?
Dhamana ya kanumba si ilikua inamzuia kusafiri nje ya nchi?(mojawapo ya masharti ya dhamana yake)
Inaitwa mapenziHongera sana Shikana. Japo huwa sifuatilii Bongo movie tangu kufariki kwa kanumba. Muda mwingine nikikuta mwanangu na dada wa kazi wanaangalia na mie natoa toa macho kidogo hapo. Btw ni muvi gani ilikuwa nominated?
Kiss kiss movie yake mpya ya LipsNa Wema Sepetu alikua kwenye Category gani?
Huu uvaaji wa kuacha matiti nje kwenye hafla kubwa naona kama kuchanganya mambo. Nguo za kwenye Taarab hizi.
Ova