Picha: Lulu Michael ndani ya Nollywood (Nigeria)

Picha: Lulu Michael ndani ya Nollywood (Nigeria)

Mshukuruni Platnumz.....Dont act like u dont know..,.
 
Hongera zake.

Msaada wakuu
Hivi kesi yake ya mauaji ndo ilishaisha? Nimekuwa mbali na media kidogo sijui nini kiliendelea sorry for that.
 
Hongera zao, bongo movie imeanza kutambulika nje, watoe scene ya mlinzi kichaa kwenye movie zao make inachefua na haileti maana
 
Hongera sana Shikana. Japo huwa sifuatilii Bongo movie tangu kufariki kwa kanumba. Muda mwingine nikikuta mwanangu na dada wa kazi wanaangalia na mie natoa toa macho kidogo hapo. Btw ni muvi gani ilikuwa nominated?
Hivi "shikana" huwa ni jina lake?
 
sasa utawaona wale vijana wanaojifanya kubebesa wanaanza kutuharibia huyu bint ili asipate tena wabongo ss bwana!
 
Wanalia kina Taylor swift na nick minaj sembuse yeye, its something emotional mtu unakua na furaha iliyopitiliza hadi unajikuta unalia.
kwa hiyo watanzania tuna tabia ya kulialia jibu swali acha kurukaruka coz sijaona mwingine akilia pale
 
Back
Top Bottom