Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Hahaha auditions tu za BSS watu wakikatwa tu huwa wanazimia wengine, sembuse kuliaWanalia kina Taylor swift na nick minaj sembuse yeye, its something emotional mtu unakua na furaha iliyopitiliza hadi unajikuta unalia.
sio kosa lako ni elimu ya mulugo inakutesa...teh teh teh...nimekwambia usichoshe watu, fuata ushauri niliokupa!..husda haitokufikisha popote kuzi wewe!
***Kama diamond naye angekua analia basi ingekua balaa
Hajakuwakilisha wewe.kwa hiyo ametuwakilisha watanzania ni watu wa kulialia hovyo?
Nimemfollow instagram, huwa naona anajiita hivyo muda mwingine ila sifahamu asili ya jina hilo.Hivi "shikana" huwa ni jina lake?
Yeah wamepata wote tuzo moja mojaNimefurahi pamoja nae pia,
Vipi Richie na yeye amepata?
Yeah wamepata wote tuzo moja moja
Yeah wamepata wote tuzo moja moja
hahaha si ndo hapo?? ila lulu kalia vizuri kweli yan kalia huku anaendelea kumwaga kidhungu, teh.. hakusahau vocals..Hahaha auditions tu za BSS watu wakikatwa tu huwa wanazimia wengine, sembuse kulia
Yeah kamejitahidi katoto ka watu jamaniOoh nilienda kuchungulia Youtube,
Nilitaka na mimi kudondosha chozi,
"it has been a long journey since I was 5 years old, i've been dreaming for this, thank u mama, we made it."
How touching jamani.
She deserve it.
Umeona eehRichie mwenyewe wkt anachukua tuzo yake alitaka kulia, sema kajikaza kiume.
Hahaha kwa raha zakeee shikanahahaha si ndo hapo?? ila lulu kalia vizuri kweli yan kalia huku anaendelea kumwaga kidhungu, teh.. hakusahau vocals..
HahahaaaaaaaMwee muwekamo kapicha Basi hako ka matiti nje!