Picha: Lulu Michael ndani ya Nollywood (Nigeria)

Picha: Lulu Michael ndani ya Nollywood (Nigeria)

mimi mwenyewe nimeshangaa, mmh sijui ndo washamalizana juu kwa juu
we muache tuu!!haki itatendeka.
ye na mamake walimrubuni mama kanumba hadi akawa shoga yao but now wanamtukana!na cjui nani anamsaidiaMa kanumba kwa sasa?
ila april sio mbali na zama hizi za magufuli tutaona.
 
Msanii wetu Lulu atoa shukrani kwa Machozi baadaa ya Kunyakua Tuzo.
 
Best Movie in E.Africa... chezea Movie ya Mapenzi weweeeeee.
 
amenikera alipokuja nyonyo nje!, mtu ukiishavaa kituko hata ukulia kwa furaha na uchungu toka jela hadi tuzo, utaonekana ni usanii tuu wa kuigiza kulia!, na kikweli Lulu ni msanii mzui, hata ile kuigiza kulia machozi pia yakatoka kweli!, Hiki ni kipaji!.

P.
She deserve it
 
Back
Top Bottom