Picha: Magereza na Mambosasa waanza kuumbuka

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
59,045
Reaction score
94,974
Eti hawa akina Mama walitaka kuvunja gereza! Eti Bulaya na Halima hapo ndio wammevamia Magereza! Acha Ulimwengu uone uhuni wa hawa watu! Ukiangalia kwa umakini unaona kuwa Askari wanawavutia kwenye geti, chini kule kuna gari inapita meaning walikua mbali kabisa na lango la gereza!!

Time will tell


 
Dunia ya kidijitali haina huruma kwa wanafiki
In God we Trust
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…