ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,050
- 6,199
Wewe unaetaka kuthibitisha vinginevyo ndio wa kuleta vielelezo pinga(counter)ili tuamini kama walivutwa weke video nzima inayoonyesha tukio lote na sio hiki kipande
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unaetaka kuthibitisha vinginevyo ndio wa kuleta vielelezo pinga(counter)ili tuamini kama walivutwa weke video nzima inayoonyesha tukio lote na sio hiki kipande
ili tuamini kama walivutwa weke video nzima inayoonyesha tukio lote na sio hiki kipande
Mbona sina taarifa?Mtaelewa tu maana leo hii mama Fatou Bensouda tayari kesha ingia bongo
In God we Trust
Taarifa ya magereza Na polis ya mambosasa imejaa uwongo mtupu.wale askari magereza walipaswa kutupwa zero Mara moja...
Eti hawa akina Mama walitaka kuvunja gereza! Eti Bulaya na Halima hapo ndio wammevamia Magereza! Acha Ulimwengu uone uhuni wa hawa watu! Ukiangalia kwa umakini unaona kuwa Askari wanawavutia kwenye geti, chini kule kuna gari inapita meaning walikua mbali kabisa na lango la gereza!!
Time will tell
View attachment 1394222
Kuwa sura zitabadilika au wataonekana wanakunywa chai pamoja? Katafute na wewe upostiKwa muonekanano hii picha imechukuliwa ktk video. Iachie video yenyewe ili tujionee kilichotokea, sio kutupa kile unachotaka wewe tukione.
ili tuamini kama walivutwa weke video nzima inayoonyesha tukio lote na sio hiki kipande
Hili ndio tatizo lenu, ujuaji na viburi.Kuwa sura zitabadilika au wataonekana wanakunywa chai pamoja? Katafute na wewe uposti
Mombojana alikua kituo cha mererani,kielimu ni mweupe ndio mana anaropoka tuEti hawa akina Mama walitaka kuvunja gereza! Eti Bulaya na Halima hapo ndio wammevamia Magereza! Acha Ulimwengu uone uhuni wa hawa watu! Ukiangalia kwa umakini unaona kuwa Askari wanawavutia kwenye geti, chini kule kuna gari inapita meaning walikua mbali kabisa na lango la gereza!!
Time will tell
View attachment 1394222
Sheria kasomea wapi?elimu hapo hamnaNilitaka kushangaa pamoja nakusoma sheria hakuelewa kuhusu taratibu zamagereza...
Sent using Jamii Forums mobile app
Eti hawa akina Mama walitaka kuvunja gereza! Eti Bulaya na Halima hapo ndio wammevamia Magereza! Acha Ulimwengu uone uhuni wa hawa watu! Ukiangalia kwa umakini unaona kuwa Askari wanawavutia kwenye geti, chini kule kuna gari inapita meaning walikua mbali kabisa na lango la gereza!!
Time will tell
View attachment 1394222
sawa hata kipindi cha wakoloni walio kuwa wanakula kwa njia za wakoroni waliwaona kina nyerere waovuSasa Mambosasa kakosea wapi!
- Walivamia gereza, wakadhibitiwa na kichapo juu!
- Sometimes tuwe na uelewa, kuvamia maana yake nini!
- Hayo mambo yenu ya people's power hayawezi Ku practice kwenye majeshi
Elli said: