Picha: Magereza na Mambosasa waanza kuumbuka

Picha: Magereza na Mambosasa waanza kuumbuka

Kwa muonekanano hii picha imechukuliwa ktk video. Iachie video yenyewe ili tujionee kilichotokea, sio kutupa kile unachotaka wewe tukione.
 
Mmefeli kusoka picha huyo avutwi Ila wamamziwia inaonekana Kuna sehemu anataka kwenda kwa nguvu Askari wanamziwia Apo unatakiwa uangalie anaelekea wap Sio kutaka kudanganya
Eti hawa akina Mama walitaka kuvunja gereza! Eti Bulaya na Halima hapo ndio wammevamia Magereza! Acha Ulimwengu uone uhuni wa hawa watu! Ukiangalia kwa umakini unaona kuwa Askari wanawavutia kwenye geti, chini kule kuna gari inapita meaning walikua mbali kabisa na lango la gereza!!

Time will tell

View attachment 1394222

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa Mambosasa kakosea wapi!
  1. Walivamia gereza, wakadhibitiwa na kichapo juu!
  2. Sometimes tuwe na uelewa, kuvamia maana yake nini!
  3. Hayo mambo yenu ya people's power hayawezi Ku practice kwenye majeshi
 
Eti hawa akina Mama walitaka kuvunja gereza! Eti Bulaya na Halima hapo ndio wammevamia Magereza! Acha Ulimwengu uone uhuni wa hawa watu! Ukiangalia kwa umakini unaona kuwa Askari wanawavutia kwenye geti, chini kule kuna gari inapita meaning walikua mbali kabisa na lango la gereza!!

Time will tell

View attachment 1394222
Mombojana alikua kituo cha mererani,kielimu ni mweupe ndio mana anaropoka tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kamilisheni ushahidi kwa kuwapeleka hospital za nje ili mataifa ya juu yaone huo unyama zaidi
Eti hawa akina Mama walitaka kuvunja gereza! Eti Bulaya na Halima hapo ndio wammevamia Magereza! Acha Ulimwengu uone uhuni wa hawa watu! Ukiangalia kwa umakini unaona kuwa Askari wanawavutia kwenye geti, chini kule kuna gari inapita meaning walikua mbali kabisa na lango la gereza!!

Time will tell

View attachment 1394222
 
Sasa Mambosasa kakosea wapi!
  1. Walivamia gereza, wakadhibitiwa na kichapo juu!
  2. Sometimes tuwe na uelewa, kuvamia maana yake nini!
  3. Hayo mambo yenu ya people's power hayawezi Ku practice kwenye majeshi
sawa hata kipindi cha wakoloni walio kuwa wanakula kwa njia za wakoroni waliwaona kina nyerere waovu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ache
Elli said:
1394266[/ATTACH]
IMG-20200320-WA0012.jpeg
IMG-20200320-WA0010.jpeg
IMG-20200320-WA0013.jpeg
IMG-20200320-WA0009.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • IMG-20200320-WA0014.jpeg
    IMG-20200320-WA0014.jpeg
    50.1 KB · Views: 1
Elli,
Hapo naona kuna askari anajaribu kumrudisha asiende getini.[/QUOTE]
 
Back
Top Bottom