Rubawa
JF-Expert Member
- Dec 25, 2015
- 2,055
- 3,254
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti hawa akina Mama walitaka kuvunja gereza! Eti Bulaya na Halima hapo ndio wammevamia Magereza! Acha Ulimwengu uone uhuni wa hawa watu! Ukiangalia kwa umakini unaona kuwa Askari wanawavutia kwenye geti, chini kule kuna gari inapita meaning walikua mbali kabisa na lango la gereza!!
Time will tell
View attachment 1394222
Kweli BroUongo hupanda lift lakini ukweli hukwea ngazi
Jr[emoji769]
Unajua mtengeneza picha bado alisahau kubadiri nguo! Maana cku hyo bulaya alikuwa na gwanda .
Eti hawa akina Mama walitaka kuvunja gereza! Eti Bulaya na Halima hapo ndio wammevamia Magereza! Acha Ulimwengu uone uhuni wa hawa watu! Ukiangalia kwa umakini unaona kuwa Askari wanawavutia kwenye geti, chini kule kuna gari inapita meaning walikua mbali kabisa na lango la gereza!!
Time will tell
View attachment 1394222
Hii ni picha ni ya uchochezi! Photoshop! Hawa kinamama siwalikuwa wamekwisha toka jera!? Sasa kiherehere kilichowafanya warudi tena huko badala ya kutulia home kilitoka wapi? Hivi hawana familia za kuwafanya watulie? Askari wetu wana uweredi wa hali ya juu! Marekani wangepigwa shaba kabisa! Nyie mnaozungusha picha za uchohezi tutashughurika nanyi muda sio mrefu kwa sheria za JMTz!Eti hawa akina Mama walitaka kuvunja gereza! Eti Bulaya na Halima hapo ndio wammevamia Magereza! Acha Ulimwengu uone uhuni wa hawa watu! Ukiangalia kwa umakini unaona kuwa Askari wanawavutia kwenye geti, chini kule kuna gari inapita meaning walikua mbali kabisa na lango la gereza!!
Time will tell
View attachment 1394222
Hawa Madada wanajitambua, siyo kama magarasa ya kwenu yamekalia kukata viuno tu! Kuna lidada lenu huku libunge la viti maalum nakaribia kulisugua muda si mrefu nitapiga mbunye ya mbunge wa ccm!Tatizo haya madada yenu Yana viburi na yanavuta bangi. Naamini Kama sio sheria wangekuwa wameshangolewa meno
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanatuona watz ni wapumbavu.Sio kwamba hawajui kwamba wanadanganya . they know the truth , wote mambosasa na viongoz wa gereza. What they did was to please their sadistic Master
Kwahiyo mtu akitaka kujua ukweli na sio uongo au kupotoshwa Ni mwehu? Ila akiamini tu bila kujua ukweli Ni mjanja!
Hajielewi ukiwauliza hawana jibu wanakutukana tusi ndio jbu lao halafu wanapongezana umemjibu vizuri yaani wanachekesha kweliHili ndio tatizo lenu, ujuaji na viburi.
Jamaa inaonesha uwezo wako wa kufikiri na kujibu ni mdogo Sana sijaona comment yako hata moja ukijibu hoja au ukifafanua hoja yako zaidi ya kukashifu hii inaonesha bado small thinkerSibishani na wapuuzi Leo! Nimeshapost nilichoposti, wewe bisha kisha screenshot mtumie bwanaako akupandishe cheo
ili tuamini kama walivutwa weke video nzima inayoonyesha tukio lote na sio hiki kipande