Picha: Magereza na Mambosasa waanza kuumbuka

Picha: Magereza na Mambosasa waanza kuumbuka

Kwa muonekanano hii picha imechukuliwa ktk video. Iachie video yenyewe ili tujionee kilichotokea, sio kutupa kile unachotaka wewe tukione.
Kama hataki tukione ataweka cha nini ?
 
Sasa Mambosasa kakosea wapi!
  1. Walivamia gereza, wakadhibitiwa na kichapo juu!
  2. Sometimes tuwe na uelewa, kuvamia maana yake nini!
  3. Hayo mambo yenu ya people's power hayawezi Ku practice kwenye majeshi
Katashekadm
Hebu nieleze ni nani hasa waliovamia gereza hilo la Segerea kati ya wafuasi wa Chadema na wa CCM?

Sote tumeona namna "convoy" ya CCM iliyoambatana na magari ya Ikulu, wakianbatana na waandishi wa habari na macamera yao, namna "walivyovamia" gereza hilo

Hebu linganisha na kina Mdee waliofika hapo gerezani na vigari vichache, wakiwa hawana silaha yoyote, hivi ni nani hasa waliovamia gereza hilo?
 
Hao wamechakaa mpaka akili. Nawachukia sana watu wanafiki na waongo. Tunajua vigezo hata vya ajira zao ni kutokuwa na akili kubwa. Lakini ukiwa huna akili siyo lazima uwe mnafiki na mwongo.
Umeuwa mkuu, eti vigezo vyao ni kutokua na akili, na walivyochakaa ni hatari[emoji28][emoji28][emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ni picha ni ya uchochezi! Photoshop! Hawa kinamama siwalikuwa wamekwisha toka jera!? Sasa kiherehere kilichowafanya warudi tena huko badala ya kutulia home kilitoka wapi? Hivi hawana familia za kuwafanya watulie? Askari wetu wana uweredi wa hali ya juu! Marekani wangepigwa shaba kabisa! Nyie mnaozungusha picha za uchohezi tutashughurika nanyi muda sio mrefu kwa sheria za JMTz!
Acha kufananisha na dunia ya kwanza waliokuzidi kila kitu, sema ingekua Rwanda utaeleweka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeah nadhani sometimes unaweza kufikia kuwaza mabaya
Oi, umenireply nn, naona JF wamefuta comment yangu [emoji23], biased forum, na nishasahau nilichocomment, nikumbushe, alafu hapo pichani mbona sioni hata virungu, mnamind as if its soo extreme.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mijibaba yenye nguvu inamdhibiti mwanamke.ile sheria mtuhumiwa akamatwe na jinsia yake haipo tena?
 
Sio kwamba hawajui kwamba wanadanganya . they know the truth , wote mambosasa na viongoz wa gereza. What they did was to please their sadistic Master
Tumuogope Mungu na tekinolojia.Furaha fupi ya mfalme na makuwadi wake inazidi kuharibu sana taswira ya umoja na ustawi wa taifa letu.Dr.Mpango anajua machungu tunayopitia kwa ubwege huu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni hasira baada ya kina heche kuwasema vibaya? Ama ni maagizo toka juu? Au mkuu wao anajua mbinu zasasa pale unapotaka promotion???
Maana bulaya na mzee ni wanasheria wakusomea kweli wangekosa kujua magereza kunataratibu zake!!
 
Sasa Mambosasa kakosea wapi!
  1. Walivamia gereza, wakadhibitiwa na kichapo juu!
  2. Sometimes tuwe na uelewa, kuvamia maana yake nini!
  3. Hayo mambo yenu ya people's power hayawezi Ku practice kwenye majeshi
unaambiwa walichukua mkono wa halima wakauweka gotini wakauvunja kama kuni ka!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah!.. kosa lao ni kuwa wabunge wa Chadema wangekua ni wabunge wa chama twawala hakuna ambaye angewagusa.
Proved
Hebu imagine ile convoy ya Ikulu, iliyokuwa inaongozwa na Polepole na kundi kubwa la maofisa kadhaa wa Ikulu na waandishi wa habari, waliruhusiwa kuingia ndani ya gereza la Segerea!

Linganisha na kimsafara cha vigari vichache sana walivyokuwa navyo akina Mdee na wanachadema..........

Hii "double standard" mnayoendelea kuishabikia nyinyi maccm, hakika Mungu anawaona na atalipiza kisasi kwa kukifuta hiko chama cha CCM kisionekane tena kwenye ramani ya dunia hii!
 
Uka
Eti hawa akina Mama walitaka kuvunja gereza! Eti Bulaya na Halima hapo ndio wammevamia Magereza! Acha Ulimwengu uone uhuni wa hawa watu! Ukiangalia kwa umakini unaona kuwa Askari wanawavutia kwenye geti, chini kule kuna gari inapita meaning walikua mbali kabisa na lango la gereza!!

Time will tell
View attachment 1394498
View attachment 1394521
View attachment 1394222
Ukamataji kama huu hata ulaya au us unafanyika kwa mtu asipotii bila shuruti. Ungeweka picha ya wale waliovunjwa mikono wakipigwa kitogo umma ungewaonea huruma.
 
Proved
Hebu imagine ile convoy ya Ikulu, iliyokuwa inaongozwa na Polepole na kundi kubwa la maofisa kadhaa wa Ikulu na waandishi wa habari, waliruhusiwa kuwa kuingia ndani ya gereza la Segerea!

Linganisha na kimsafara cha vigari vichache sana walivyokuwa navyo akina Mdee na wanachadema..........

Hii "double standard" mnayoendelea kuishabikia nyinyi maccm, hakika Mungu anawaona na atalipiza kisasi kwa kukifuta hiko chama cha CCM kisionekane tena kwenye ramani ya dunia hii!
Usipende kuwa unaangalia shilingi upande mmoja. Je kama akina pole pole waliomba ruhusu na kufuata taratibu. Na unjua kama walingia na magari hadi sehemu sisizoruhusiwa?
Jambo la msingi ni kufuata utaratibu.
 
Usipende kuwa unaangalia shilingi upande mmoja. Je kama akina pole pole waliomba ruhusu na taratibu. Na unjua kama walingia na magari hadi sehemu sisizoruhusiwa?
Jambo la msingi ni kufuata utaratibu.
Hebu nikuulize swali dogo tu, wewe kada wa Lumumba.

Hivi kuna maana gani watu wa CCM kuingia hapo gerezani Segerea na "convoy" ya magari ya serikali ya Ikulu, wakati hiyo ni shughuli ya kichama?
 
Back
Top Bottom