Picha: Magereza na Mambosasa waanza kuumbuka

Picha: Magereza na Mambosasa waanza kuumbuka

Sioni kama picha inatosha kuthibitisha hizi tuhuma zilizoletwa hapo hata kwa kuitazama inaonekana huyo mwanamke ndiyo analeta ukaidi na kashikiliwa... Akija mwingine ataweza kusema jingine kwa mujibu wa picha, hii haiwezi kuwa uthibitisho tosha. Labda video ndiyo ingeweza kuweka wazi kila kitu, picha lazima iibue maswali.

Pia kwa mujibu wa maelezo zilipigwa risasi juu, tena Mbowe kasema zimefyatuliwa 13. Hilo ni onyo maana hawa jamaa huwa hawana risasi baridi, huwa wanatembea na xa moto. Ikiwa wakizifyatua na ukakaidi, wanaweza kutumia nguvu.... Sasa hawa hadi ifikie huko kupigwa, walikaidi onyo walilopewa.
 
Eti hawa akina Mama walitaka kuvunja gereza! Eti Bulaya na Halima hapo ndio wammevamia Magereza! Acha Ulimwengu uone uhuni wa hawa watu! Ukiangalia kwa umakini unaona kuwa Askari wanawavutia kwenye geti, chini kule kuna gari inapita meaning walikua mbali kabisa na lango la gereza!!

Time will tell

View attachment 1394222
Sasa ukimkamata mtu kwanini usimvute,acheni siasa uchwara bhana. Walikosea na walipata kilichosahihi.

macson
 
Toeni upumbavu wenu yaani mkawachokoze wenyewe alafu mnakuja kulia lia nini. Mmevamia smart area wawaache hahaaaaaa kuna sehemu za kutaftia kiki lakini hii ilibuma maana kichapo mmepata kisha watu wako bize na Korona hawana habari na nyinyi. Shkamoo korona.
 
Huyo Mambohovyo ni ovyo kupindukia. Haaminiki kwa lolote. Ni kamanda mwongo, mnafiki na anayependa kujipendekeza kwa kuumiza wati wasio na hatia, ndiyo maana hata mkuu wake kuna wakati ilimlazimu kumsema hadharani.

Anafanya mambo ya kutia kinyaa, akiamini siku moha atapanda mpaka nafasi ya juu. Lakini asahau, haitakuja kutokea. Na maisha yake ya mwisho lazima yawe ya majuto na mateso makubwa. Majitu ya hivi huwa hayana mwisho mzuri.
 
Utadhani enzi za makuburu!!
Hakika !
Mpaka sasa si Mkuu wa Magereza nchini, waziri wa mambo ya ndani ama Rais walioon ( 640 X 640 ).jpg


Majina yote ya askari waliohusika yamepatikana , Yataanikwa muda wowote .
 
Eti wanaume kama kumi wanamzunguka kwa kipigo mwanamke! Poor Magereza ndio maana wana safe zimechakaa utadhani street hustlers
Hao wamechakaa mpaka akili. Nawachukia sana watu wanafiki na waongo. Tunajua vigezo hata vya ajira zao ni kutokuwa na akili kubwa. Lakini ukiwa huna akili siyo lazima uwe mnafiki na mwongo.
 
Nawapenda jeshi langu la JKT na JWTZ,
Nadhan angalau hawa jamaa wana nidham sana..
Mungu awape roho ya nidham zaid msije kuwaiga hawa wengine..

Ila wale wengine ndo maana hata maisha yao ya taabu sana...
Imagine unambambikizia mtu kesi,,unampiga,unamdhurumu haki yake na vitisho kibao,unategemea we utabarikiwa kweli?na mungu yupi?

Hakika mtaendelea kutembelea zile tax za mwaka 82 wakat wenzenu wana benz ...
 
Inaelekea hawa wabunge walikuwa wamepangiwa jambo huko gerezani kabla ya kutolewa kwa michango ya wananchi, ambayo ilivuruga mipango hiyo.

Hii sio bure. inaonekana kama walikuwa wameandaliwa mapokezi hapo magereza siku hiyo walipokwenda kumpokea mwenyekiti wao.
 
Mr Big,
Amen, well said, ukienda pale Masumbwe pale Wilayani kuna Askari amestaafu ni ombaomba balaa. Unaambiwa enzi akiwa kazini alikua jeuri na kiburi balaa
Wapo wengi wa namna hiyo. Na ndivyo atakavyokuwa Mambohovyo.
 
Back
Top Bottom