Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,710
- 9,063
Sasa Mambosasa kakosea wapi!
- Walivamia gereza, wakadhibitiwa na kichapo juu!
- Sometimes tuwe na uelewa, kuvamia maana yake nini!
- Hayo mambo yenu ya people's power hayawezi Ku practice kwenye majeshi
Acha uchizi...!!Sipendi na sitaki ma CCM kuwafanya Watz hawana akili....!!!
Hivi Polepole alipokwenda kumchukua sijui kumpokea Dr. Mashinji ALIKWENDA KUVAMIA au?
CCM acheni kutetea upumbavu...!
That is purely double standards...Dunia imeona na Watz wameona..,!!!
You just wait your judgement coming very soon!
