Picha: Magereza na Mambosasa waanza kuumbuka

Picha: Magereza na Mambosasa waanza kuumbuka

Mi nawaomba chadema wabadili mbinu za kufanya mambo yao.

Kulikuwa hakuna sababu ya kutotii amri za hawa jamaa kwa vile hali ilivyo mnaifahamu.Hata kama unaonewa lakini ikishaenda mahakamani ni vigumu sana kuishawishi mahakama kwamba mlikuwa na haki.

Hizi siasa za kutunishia msuli vyombo vya dola si nzuri.
Mambo haya waachieni wazungu kwani wao wanajua thamani ya ubinadamu.Hizi demo huku kwenu ni kama kuchungulia kaburi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu ikitokea za kutokea ni wa kuwafanya kama mawaziri wa Tolbert wa Liberia

Cabinet ministers lined up for execution after a coup d'état in Liberia, 1980
A Liberian army soldier stands ready to execute a former cabinet minister following the 1980 coup. The minister in the photo: Cecil Dennis.

Na baada ya kuwaua Liberia ni nchi ya ngapi kwa uchumi au kwa chochote kizuri hata kwa Africa tu?
 
Mzaha mhaza huanza kidogo kidogo
Ilikua mahakamani kelele nyingi ikaja huko magereza ndo ilipodhibitiwa ingeachiwa kidogo kidogo vituo vya polisi ikaaendaa kushtuka mara lugalo kuja kukumbuka ikulu haoo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzaha mhaza huanza kidogo kidogo
Ilikua mahakamani kelele nyingi ikaja huko magereza ndo ilipodhibitiwa ingeachiwa kidogo kidogo vituo vya polisi ikaaendaa kushtuka mara lugalo kuja kukumbuka ikulu haoo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Fikiri na jiulize maswali mengi tofauti kabla ya kuandika. Think before you leap.
 
Eti hawa akina Mama walitaka kuvunja gereza! Eti Bulaya na Halima hapo ndio wammevamia Magereza! Acha Ulimwengu uone uhuni wa hawa watu! Ukiangalia kwa umakini unaona kuwa Askari wanawavutia kwenye geti, chini kule kuna gari inapita meaning walikua mbali kabisa na lango la gereza!!

Time will tell
View attachment 1394498
View attachment 1394521
View attachment 1394222
Sishangilii wala kupenda watu waonewe ila picha hii haithibishi kuwa hawakuwa kwenye lango.
Maana migongo yao inaelekea langoni kuonyesha kuwa wanatolewa tokea huko . La nyuso zao zingeelekea langoni tungejua walikuwa wanaenda tena wako mbali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wale shetani walioacha nikapigwa Ban ole wenu niwaone tena hapa!
 
Mnisamehe sana kwa kutoweka hewani. Mods wamenirejesha
 

Attachments

  • Screenshot_20200321-085859.png
    Screenshot_20200321-085859.png
    30.5 KB · Views: 1
Hyo picha inaonesha wazi askar wa kike wamekashika hako kadada kameshapata stahiki yake kanapelekwa kuhifadhiwa. Sasa kama kamekamatwa na kanareact kupelekwa sehemu husika ulitaka wakambembeleze kama mtt wa chekechea?
Ni kweli askar tunawachukia bt ikifika mda wa kufanya kaz yao tuwaache wafanye kazi, tusijifanye tunaijua saaana kazi yao kama tunajifanya tunaijua basi tungeenda depo ili na sisi tuwe wao.

Mkitaka askari waache kuwapiga nyinyi mnaojifanya mnavichwa vigumu mpeleka mswaada bungeni wa kusitisha bajet ya kununua virungu mabomu ya machoz nk. Bt kama bajet ya virungu bado ipo basi tegemea usipofuata taratibu icho kirungu mlichokinunua kitatumika.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hyo picha inaonesha wazi askar wa kike wamekashika hako kadada kameshapata stahiki yake kanapelekwa kuhifadhiwa. Sasa kama kamekamatwa na kanareact kupelekwa sehemu husika ulitaka wakambembeleze kama mtt wa chekechea?
Ni kweli askar tunawachukia bt ikifika mda wa kufanya kaz yao tuwaache wafanye kazi, tusijifanye tunaijua saaana kazi yao kama tunajifanya tunaijua basi tungeenda depo ili na sisi tuwe wao.

Mkitaka askari waache kuwapiga nyinyi mnaojifanya mnavichwa vigumu mpeleka mswaada bungeni wa kusitisha bajet ya kununua virungu mabomu ya machoz nk. Bt kama bajet ya virungu bado ipo basi tegemea usipofuata taratibu icho kirungu mlichokinunua kitatumika.


Sent using Jamii Forums mobile app
Ona hii corona ya kijani, pumbavu kabisa
 
Hyo picha inaonesha wazi askar wa kike wamekashika hako kadada kameshapata stahiki yake kanapelekwa kuhifadhiwa. Sasa kama kamekamatwa na kanareact kupelekwa sehemu husika ulitaka wakambembeleze kama mtt wa chekechea?
Ni kweli askar tunawachukia bt ikifika mda wa kufanya kaz yao tuwaache wafanye kazi, tusijifanye tunaijua saaana kazi yao kama tunajifanya tunaijua basi tungeenda depo ili na sisi tuwe wao.

Mkitaka askari waache kuwapiga nyinyi mnaojifanya mnavichwa vigumu mpeleka mswaada bungeni wa kusitisha bajet ya kununua virungu mabomu ya machoz nk. Bt kama bajet ya virungu bado ipo basi tegemea usipofuata taratibu icho kirungu mlichokinunua kitatumika.


Sent using Jamii Forums mobile app
Ona hii corona ya kijani, pumbavu kabisa
 
Nchi za wenzetu mwanamke anashugulikiwa na Askari mwanamke sio mwanamme..

God bless Tanzania, bado hatujitambui
 
Hii ni picha ni ya uchochezi! Photoshop! Hawa kinamama siwalikuwa wamekwisha toka jera!? Sasa kiherehere kilichowafanya warudi tena huko badala ya kutulia home kilitoka wapi? Hivi hawana familia za kuwafanya watulie? Askari wetu wana uweredi wa hali ya juu! Marekani wangepigwa shaba kabisa! Nyie mnaozungusha picha za uchohezi tutashughurika nanyi muda sio mrefu kwa sheria za JMTz!
Kwani hawa akina Bulaya walikwenda segerea kutafuta nini?
Na hivi ni kosa kisheria kwenda kumlaki mfungwa/mahabusu aliyepewa ruhusa kwa shangwe?
Waliowapiga akina Bulaya walikuwa wanzuwia nini, kisitendeke pale segerea ambacho walihofia kutokea?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom